B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
habari za mchana na ma greater thinker...kitambo kidogo sijapata msaada kutoka kwenu,kuna mwanamke tumeanza ma uhusiano kama mienzi mitano iliyo pita,kwelii na mpenda na ananipenda,alikujaa kwangu baada ya kuumizwa na kutendwaa na jamaa yake wa kwanza,jamaa alikiwa nae huku ana girlfriend mwingine nje ya nchi.alipo rudi yule aliekuwepo njee ya nchii akamtelekeza huyu mwanamke,kwavilee nilikuwa namtaka siku nyingi ila alisha niambia yuko na huyo jamaa,so nikawa nimepunguza mawasiliano,baada ya kutendwa kulee akawa anawasiliana na mimi like friend wa kawaida na kunisimuliaa yote yalio mkuta.
nika mpa moyo and tukaa ends kuwaa lovers.but now yule jamaa amekujaa kujua yule girlfriend wake alioko abroad anataka kuolewaa,so kuanzia juzii anampigiaa cm huyu x wake akitaka warudiane na machozii anatoa.kwa vile niko mbalii na huyu binti jamaa inakuwa kama kingezo,na jamaa ananijua na tunawasiliana bfr and after kuachana na huyu gal ambe ndo wangu sasaa. je kwa halii hii wakuu mnanishaurii nini?
nika mpa moyo and tukaa ends kuwaa lovers.but now yule jamaa amekujaa kujua yule girlfriend wake alioko abroad anataka kuolewaa,so kuanzia juzii anampigiaa cm huyu x wake akitaka warudiane na machozii anatoa.kwa vile niko mbalii na huyu binti jamaa inakuwa kama kingezo,na jamaa ananijua na tunawasiliana bfr and after kuachana na huyu gal ambe ndo wangu sasaa. je kwa halii hii wakuu mnanishaurii nini?