Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,003
Kuna mabadiliko yamefanyika kwenye Western Union Tanzania ambapo sasa mtu kukutumia fedha kutoka Bongo hawezi kufanya hivyo isipokuwa hadi utoe taarifa zako za huko uliko (nchi unayotumiwa). Hii ni kwa mujibu wa maelekezo ya Benki Kuu ambayo WU(T) wamebandika katika vituo vyao.
Kwa hiyo mnaotumiwa fedha kutoka Bongo mjiandae kwa invasion mpya ya privacy. Mimi leo imebidi nitoe hadi jina la kijiji ninachoishi ili kuweza kupata vijisenti vyangu vya madafu!
Cha kushangaza sisi tunaotuma fedha nyingi zaidi kutoka sehemu kama Marekani kwenda Bongo tunazituma bila kulazimishwa kutoa taarifa za yule tunayemtumia, kazi yake, nambari yake ya passport, kijiji chake n.k!
Kwa hiyo mnaotumiwa fedha kutoka Bongo mjiandae kwa invasion mpya ya privacy. Mimi leo imebidi nitoe hadi jina la kijiji ninachoishi ili kuweza kupata vijisenti vyangu vya madafu!
Cha kushangaza sisi tunaotuma fedha nyingi zaidi kutoka sehemu kama Marekani kwenda Bongo tunazituma bila kulazimishwa kutoa taarifa za yule tunayemtumia, kazi yake, nambari yake ya passport, kijiji chake n.k!