Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
jamani wenzangu ni kama mimi kwani inapokaribia mwisho wa mwezi napatwa hamaniko kubwa moyoni.
Nikiwa mtumishi wa serikali mwisho wa mwezi unapokaribia kuna mambo yananitia tumbo joto:
1. Makato ya mikopo niliyokopa kupitia nmb, saccos , egumba na bayport
2.Tetesi kwamba serikali inadunduliza pesa za kutulipa toka 2011 uanze.
Nikiwa mtumishi wa serikali mwisho wa mwezi unapokaribia kuna mambo yananitia tumbo joto:
1. Makato ya mikopo niliyokopa kupitia nmb, saccos , egumba na bayport
2.Tetesi kwamba serikali inadunduliza pesa za kutulipa toka 2011 uanze.