World's Ten Poorest Countries Revealed ; based on data from the World Bank

TAARIFA NYINGI ZA KIUCHUMI NA KIWANGO CHA UMASIKINI ZIPO ZIMEJAA TELE KWENYE MITANDAO YA MASHIRIKA UMOJA WA MATAIFA NA TAASISI ZA UTAFITI ZA KIUCHUMI AFRICA NA DUNIANI KWA UJUMLA.Kama sio mvivu wa kusoma utazipata taarifa zote pamoja na analysis zake.
 
Hii imekaa kisiasa zaidi,haiwezekan bongo tusiwepo,ili jamaa aka baba mwene nyumba alienda kuwasomesha watutoe ili isije kuathir uchaguz ujao! C mnajua jamaa anavojua fitna ohooooh noooma!
 
mbona watu hamna imani hivyo na nchi yenu? mnadhani Tz ya vilaza? Hatuwezi tukawa top 10 ya poorest countries bna...
 
Yaani hawa jamaa ni mashetani wakubwa. Hata Gadafi angewaruhusu kuiba mafuta ya Libya wasingesaidia kumuua. Kwa maana pamoja na Gadafi kuifanya Libya kama kampuni yake binafsi na familia yake, lakini wananchi wa Libya hawakuwa na shida ya maisha. Kila mmoja alikuwa na uhakika wa mlo na nyumba nzuri. Fikiria hawa Equatoria Guinea yaani popualtion haifiki hata milioni moja na kwa utajiri walionao ilitakiwa kila mmoja apate mgao toka serikalini wa angalau USD 1000 kila mwezi.

Ndio maana yake mkuu...hawataki kabisa jamaa aguswe maana wanakula mafuta ya Guinea kwa upole wakati wanajua jamaa anawatesa sana watu wake. Double standard za western countries!
 
Yeah, Kwa sasa GDP ya Tanzania ni kubwa zaidi ya ZIMBAMBWE... na inaelekea kuipita ya KENYA kama hatukimbiza pesa USWISI

Mfano Mzuri ni UMEME tunatumia GAS; Inasemekana tunaokoa $ 1 BILLION ya kununulia OIL NJE sababu tunatumia GAS ya SONGOSONGO...

Kazi mbona ipo! Yaani we acha tu. Itabidi tulinde mali zetu kwa kutumia sungu sungu. Pinda ameenda Geita kupata utaalamu, teh teh teh
 
Ndio maana yake mkuu...hawataki kabisa jamaa aguswe maana wanakula mafuta ya Guinea kwa upole wakati wanajua jamaa anawatesa sana watu wake. Double standard za western countries!
Mkuu hawa jamaa wa west huwa hawatuhesabu kama sisi waafrika nasi tu binadamu tunaohitaji kuwa na maisha bora. Maisha duni kwetu ni furaha kwao ndo maana hata kidogo tulichonacho wanatunyang'anya na ikibidi hata kwa mtutu wa bunduki kama wanavyofanya huko DRC. Hapa kwetu wametuletea jasusi wao Rostam Aziz ambaye sasa yuko kwa jina la Symbion ili aendelee kuifilisi nchi kupitia biashara zake haramu ikiwemo kulifilisi shirika letu la umeme ili tusipige hatua katika maendeleo maana wanajua kuwa injini ya maendeleo ni nishati ya uhakika.
 
Tz haipo!
Isije ikawa wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa!
Maana wazungu bwana very clever has na izi expolaration za gesi na wese
 
UVIVU umetutawala hadi kufikia kutokukubali kuwa hatumo miongoni mwa nchi 10 maskini wa mwisho duniani.

Tujibidiishe kufanya kazi kwa bidii tujijenge wenyewe na Taifa letu kwa ujumla.
 
Equatorial Guinea na Petroli... Inasikitisha GDP ya kila mtu ni sawa na $ 27,000 lakini ni ya pili kwa Umaskini Duniani

Pesa ZOTE wanazoingiza zinakwenda kwa RAIS na MTOTO wake aliye na Majumba HOLLYWOOD na ndege za kubeba Magari ya kifahari

Ni aibu... KWELI SISI TUTAKUWA HIVVYO?? VIONGOZI wetu Midomo imefungwa wakati sisi kwa sisi tunagombana...


Equatorial Guinea, Middle Africa

Poverty rate: 76.8%
Population: 720,213
GDP: $19.79 billion (99th lowest)
GDP per capita: $27,478 (40th highest)

Kwani Indices gani imetumika hapa? Nilidhani mara nyingi hawa jamaa wanao rank hutumia GDP sikutarajia Nchi y Theodore Obiang Nguenma kuwepo hapa???

Lakini pia kwa kuwa ni ranking na kila nchi ina maisha mazuri haimaanishi kuwa hizi nchi ni maskini sana isipokuwa lazima kuna wa mwisho tu. Pia siamini somalia haipo?? ati Zimbabwe is poor than Somalia?? Mara nyingine hizi indices zinatolewa na wazingu zahitaji challenge kidogo
 
Kwani Indices gani imetumika hapa? Nilidhani mara nyingi hawa jamaa wanao rank hutumia GDP sikutarajia Nchi y Theodore Obiang Nguenma kuwepo hapa???

Lakini pia kwa kuwa ni ranking na kila nchi ina maisha mazuri haimaanishi kuwa hizi nchi ni maskini sana isipokuwa lazima kuna wa mwisho tu. Pia siamini somalia haipo?? ati Zimbabwe is poor than Somalia?? Mara nyingine hizi indices zinatolewa na wazingu zahitaji challenge kidogo


SOMALIA haipo kwasababu hakuna DATA; Imegawanyika Mara TATU haitambuliki kama TAIFA sasa; Yeah angalia EQUATORIAL GUINEA

GDA per Capita ni 27,000 kwa UUZAJI lakini hizo PESA haiziingii kwenye MFUKO Wa SERIKALI... HELA YOTE YA MAFUTA wanaichimbia kwa MWANAE

NDUGU na MARAFIKI... Watasubiri MPAKA afe ndio wazizuie kama Ilivyokuwa Rais Wa Nigeria SANNI ABACHA...
 
Back
Top Bottom