Maneno ya wivu haya. Unayaandika ukiwa na kitu kinakukereketa rohoni.
Upo biased siku zote. Huko Kigoma uwanja wa ndege unapanuliwa utakuwa ni wa kilomita tatu badala ya moja.Wivu kwa kuwa Mwigulu kasema wamesifiwa na WB?! Nimecheka kwa nguvu.
Upo biased siku zote. Huko Kigoma uwanja wa ndege unapanuliwa utakuwa ni wa kilomita tatu badala ya moja.
Bilioni 500 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za mkoa. Kazi inafanyika kimya kimya.
Unakuwa kama unaumia moyoni wanapojitokeza wengine wakaisifia.Ni kweli, inatakiwa niisifie serekali tu ili usiumie roho boss.😂😂
Weka ushahidi.Nchi za ulaya zinapambana na inflation saa hizi, gharama za maisha ni kubwa mno huko.
Utausoma?Weka ushahidi.
Unakuwa kama unaumia moyoni wanapojitokeza wengine wakaisifia.
Kumchora ni maoni yako binafsi kiongozi. Uhusiano wenye faida kwa pande zote mbili haukosi kusifiana hata kama ni katika hali ya kinafiki ya kuchorana.Wanawasifia au wanawachora? Au hujui sifa ni zipi boss?
Akija bingwa anaelinda uchumi kwa masilahi ya wananchi wake mabeberu kazi yao ni kumpiga vita. Kila dhaifu akiwa pale juu ni mwendo wa kusifiwa huku watu wakiangamia. Tujikague tumepigwaMabeberu wakishaachiwa fursa ya kupiga wala hawana tabu lazima wakupe sifa usizastahili ili uendelee kuwapa wanachotaka.
Wanatujua watu weusi tunashobokea ngozi nyeupe hivyo tukisifiwa kidogo tu tunajiona tunafanana nao.
Kumbe wanatuchora tu.
BOT wameishiwa Dola uchumi gani huo? eti mnauza nini nyie, kupata uchumiUpo biased siku zote. Huko Kigoma uwanja wa ndege unapanuliwa utakuwa ni wa kilomita tatu badala ya moja.
Bilioni 500 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za mkoa. Kazi inafanyika kimya kimya.
Benki ya dunia yaridhishwa na hatua zinazochukuliwa na nchi yetu ya Tanzania katika kusimamia uchumi.
Makamu wa Rais wa benki hiyo Bi @VictoriaKwakwa amezitaka nchi nyingine duniani ziige mfano wa Tanzania katika usimamizi mzuri wa masuala ya uchumi.
View attachment 2390771
Mbona chumvi haipandi?This is rubbish inflation gani iliyothibitiwa wakati bei zinapanda kila siku iitwayo leo?
NakaziaTanzania ni MABINGWA wa KUPIKA namba kufurahisha WAFADHILI.
Hili nimekuja kujionea mwenyewe baada ya kufanya kazi sekta ya Afya.
Benki ya dunia yaridhishwa na hatua zinazochukuliwa na nchi yetu ya Tanzania katika kusimamia uchumi.
Makamu wa Rais wa benki hiyo Bi @VictoriaKwakwa amezitaka nchi nyingine duniani ziige mfano wa Tanzania katika usimamizi mzuri wa masuala ya uchumi.
View attachment 2390771