Katika kile kinachoonekana kutishwa na mwitikio wa wananchi wa Mto wa Mbu, viongoji vyake na maeneo ya jirani kwa mkutano mkubwa wa hadhara uliokuwa ufanyike siku ya Jumamosi, 02/06/2012, serikali kupitia jeshi la polisi Wilaya ya Monduli imezuia Mkutano huo.
Taarifa ya uongozi wa CHADEMA Mto wa Mbu inaeleza;
".. mkutano hautakuepo wa kesho polisi wanasema hawana askari wa kutosha kwa sababu wana misafara ya wageni wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka pande za afrika na wanaenda kutalii manyara na ngorongoro hivyo mkutano umesitishwa na jeshi la polisi wilayani pia watu wa bodaboda wameambiwa kama hawana leseni ni marufuku kuonekana barabarani kuanzia leo (01/06/2012) kwa kuogopa nguvu ya umma"
My take
1. Mwandishi Mashuhuri - Gabriel Ruhumbika - aliwahi kuandika ; UWIKE, USIWIKE, KUTAKUCHA.Moto wa mabadiliko unatoka katika mioo yao.Kutakucha tu 2015.
2. Ni wakati sasa Elimu ya Uraia ikaenezwa kote na tafsiri sahihi ya sheria ikawepo ili kuhakikisha Polisi hawatumii sababu za kiintlijensia kuzuia watu kufanya mikutano.Hivi askari waliotakiwa ni wa nini?Maana mikutano ya CHADEMA hufanyika viwanja vya Mzambarauni ambapo ni hatua takriban 40 kutoka Kiuo cha polisi.
3. Huu ni mwanzo tu; 2015 Daudi anamshinda Goliati.
Nawasilisha,
NGUVU YA UMMA
Taarifa ya uongozi wa CHADEMA Mto wa Mbu inaeleza;
".. mkutano hautakuepo wa kesho polisi wanasema hawana askari wa kutosha kwa sababu wana misafara ya wageni wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka pande za afrika na wanaenda kutalii manyara na ngorongoro hivyo mkutano umesitishwa na jeshi la polisi wilayani pia watu wa bodaboda wameambiwa kama hawana leseni ni marufuku kuonekana barabarani kuanzia leo (01/06/2012) kwa kuogopa nguvu ya umma"
My take
1. Mwandishi Mashuhuri - Gabriel Ruhumbika - aliwahi kuandika ; UWIKE, USIWIKE, KUTAKUCHA.Moto wa mabadiliko unatoka katika mioo yao.Kutakucha tu 2015.
2. Ni wakati sasa Elimu ya Uraia ikaenezwa kote na tafsiri sahihi ya sheria ikawepo ili kuhakikisha Polisi hawatumii sababu za kiintlijensia kuzuia watu kufanya mikutano.Hivi askari waliotakiwa ni wa nini?Maana mikutano ya CHADEMA hufanyika viwanja vya Mzambarauni ambapo ni hatua takriban 40 kutoka Kiuo cha polisi.
3. Huu ni mwanzo tu; 2015 Daudi anamshinda Goliati.
Nawasilisha,
NGUVU YA UMMA