Wizi wa Magari: Godbless Lema achunguzwa na Polisi

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha amehoji kwa nini aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam (RCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi(ACP), Abdallah Zombe hakutoa mapema taarifa za uhalifu zinazomhusisha Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

Alikuwa akijibu swali kuhusu hatua ambazo jeshi hilo limezichukua dhidi ya Lema kuhusiana na tuhuma hizo ofisini kwake, Dar es Salaam jana alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka 50 ya uhuru na changamoto zinazoikabili. Hata hivyo, alilitaka jeshi hilo kutokuzipuuza taarifa hizo.

Aliwaagiza maofisa wa jeshi hilo kupitia kwa Kamishna wa Polisi Utawala na Fedha, Clodwig Mtweve kumuita Zombe na kumwuliza juu ya tuhuma hizo na kuzifanyia kazi.

“Sisi tunasema kwa kila taarifa inayotolewa inakuwa na chembe ya ukweli. Labda niwape mfano mmoja, nitatumia mfano mbaya kidogo... ukikutana na mlevi akakwambia kuwa katika njia hii kuna majambazi japo ni mlevi lazima utakimbia kupitia njia nyingine;
Kwa hiyo hata hizi taarifa za Zombe hatupaswi kuzipuuzia kwani hawezi mtu mzima kusimama na kutoa taarifa kama zile hadharani hivihivi tu. Kwa hiyo maofisa wa jeshi nendeni mkae naye muulize maana inaonekana ana taarifa nyingi.”

Agosti Mosi mwaka huu, Zombe alimhumu Lema kuwa alikuwa na mtandao wa uhalifu wa wizi wa magari akidai kwamba anao ushahidi wa tuhuma hizo kwa kuwa alipokea taarifa hizo wakati akiwa RCO Dar es Salaam ambazo alidai kuwa alikuwa ameshaanza kuzifanyia kazi kabla ya kukamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma za mauaji.

Source: Gazeti Mwananchi.

My Comment: Muda si mrefu rangi halisi za huyu mbunge zitakuwa hadharani.
Waliopoteza kura zao kumchagua imekula kwao.
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha amehoji kwa nini aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam (RCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi(ACP), Abdallah Zombe hakutoa mapema taarifa za uhalifu zinazomhusisha Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.<br />
<br />
Alikuwa akijibu swali kuhusu hatua ambazo jeshi hilo limezichukua dhidi ya Lema kuhusiana na tuhuma hizo ofisini kwake, Dar es Salaam jana alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka 50 ya uhuru na changamoto zinazoikabili. Hata hivyo, alilitaka jeshi hilo kutokuzipuuza taarifa hizo.<br />
<br />
Aliwaagiza maofisa wa jeshi hilo kupitia kwa Kamishna wa Polisi Utawala na Fedha, Clodwig Mtweve kumuita Zombe na kumwuliza juu ya tuhuma hizo na kuzifanyia kazi.<br />
<br />
“Sisi tunasema kwa kila taarifa inayotolewa inakuwa na chembe ya ukweli. Labda niwape mfano mmoja, nitatumia mfano mbaya kidogo... ukikutana na mlevi akakwambia kuwa katika njia hii kuna majambazi japo ni mlevi lazima utakimbia kupitia njia nyingine;<br />
Kwa hiyo hata hizi taarifa za Zombe hatupaswi kuzipuuzia kwani hawezi mtu mzima kusimama na kutoa taarifa kama zile hadharani hivihivi tu. Kwa hiyo maofisa wa jeshi nendeni mkae naye muulize maana inaonekana ana taarifa nyingi.”<br />
<br />
Agosti Mosi mwaka huu, Zombe alimhumu Lema kuwa alikuwa na mtandao wa uhalifu wa wizi wa magari akidai kwamba anao ushahidi wa tuhuma hizo kwa kuwa alipokea taarifa hizo wakati akiwa RCO Dar es Salaam ambazo alidai kuwa alikuwa ameshaanza kuzifanyia kazi kabla ya kukamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma za mauaji.<br />
<br />
Source: Gazeti Mwananchi.<br />
<br />
<b><u>My Comment</u></b>: Muda si mrefu rangi halisi za huyu mbunge zitakuwa hadharani. <br />
Waliopoteza kura zao kumchagua imekula kwao.
<br />
<br />we ni mpuuuzi, mjinga,unafikiri kwa ku2mia makalio, kichwani umejaa hajakubwa kama huyo unayemshabikia.(Zombe)
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha amehoji kwa nini aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam (RCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi(ACP), Abdallah Zombe hakutoa mapema taarifa za uhalifu zinazomhusisha Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.

Alikuwa akijibu swali kuhusu hatua ambazo jeshi hilo limezichukua dhidi ya Lema kuhusiana na tuhuma hizo ofisini kwake, Dar es Salaam jana alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka 50 ya uhuru na changamoto zinazoikabili. Hata hivyo, alilitaka jeshi hilo kutokuzipuuza taarifa hizo.

Aliwaagiza maofisa wa jeshi hilo kupitia kwa Kamishna wa Polisi Utawala na Fedha, Clodwig Mtweve kumuita Zombe na kumwuliza juu ya tuhuma hizo na kuzifanyia kazi.

"Sisi tunasema kwa kila taarifa inayotolewa inakuwa na chembe ya ukweli. Labda niwape mfano mmoja, nitatumia mfano mbaya kidogo... ukikutana na mlevi akakwambia kuwa katika njia hii kuna majambazi japo ni mlevi lazima utakimbia kupitia njia nyingine;
Kwa hiyo hata hizi taarifa za Zombe hatupaswi kuzipuuzia kwani hawezi mtu mzima kusimama na kutoa taarifa kama zile hadharani hivihivi tu. Kwa hiyo maofisa wa jeshi nendeni mkae naye muulize maana inaonekana ana taarifa nyingi."

Agosti Mosi mwaka huu, Zombe alimhumu Lema kuwa alikuwa na mtandao wa uhalifu wa wizi wa magari akidai kwamba anao ushahidi wa tuhuma hizo kwa kuwa alipokea taarifa hizo wakati akiwa RCO Dar es Salaam ambazo alidai kuwa alikuwa ameshaanza kuzifanyia kazi kabla ya kukamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma za mauaji.

Source: Gazeti Mwananchi.

My Comment: Muda si mrefu rangi halisi za huyu mbunge zitakuwa hadharani.
Waliopoteza kura zao kumchagua imekula kwao.

Kishongo Lema anajulikana alikuwa akifanyakazi gani muda si mrefu watetezi wake watamkimbia na kumkana hawamjui.
 
ssasa hapo anaechunguzwa ni nani kati ya zombe na lema.
tumia ****** kunya na kichwa kufikiria na baada ya kunya utawaze.
 
Iwapo kila tuhuma inayotolewa inakuwa na chembe ya ukweli na inafanyiwa kazi, Mbona madai ya Mwakyembe ya mpango wa kumuua hayakufuatiliwa? Mwakyembe alitoa ushahidi wa kina katika hilo sakata lakini hakuna kilichofanyika. Labda ni kwa kuwa mpango wa mauaji ulikuwa unafanywa kwa kushirikiana na vyombo vya usalama likiwemo jeshi la polisi na usalama wa taifa???
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha amehoji kwa nini aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa wa Dar es Salaam (RCO), Kamishna Msaidizi wa Polisi(ACP), Abdallah Zombe hakutoa mapema taarifa za uhalifu zinazomhusisha Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.<br />
<br />
Alikuwa akijibu swali kuhusu hatua ambazo jeshi hilo limezichukua dhidi ya Lema kuhusiana na tuhuma hizo ofisini kwake, Dar es Salaam jana alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka 50 ya uhuru na changamoto zinazoikabili. Hata hivyo, alilitaka jeshi hilo kutokuzipuuza taarifa hizo.<br />
<br />
Aliwaagiza maofisa wa jeshi hilo kupitia kwa Kamishna wa Polisi Utawala na Fedha, Clodwig Mtweve kumuita Zombe na kumwuliza juu ya tuhuma hizo na kuzifanyia kazi.<br />
<br />
“Sisi tunasema kwa kila taarifa inayotolewa inakuwa na chembe ya ukweli. Labda niwape mfano mmoja, nitatumia mfano mbaya kidogo... ukikutana na mlevi akakwambia kuwa katika njia hii kuna majambazi japo ni mlevi lazima utakimbia kupitia njia nyingine;<br />
Kwa hiyo hata hizi taarifa za Zombe hatupaswi kuzipuuzia kwani hawezi mtu mzima kusimama na kutoa taarifa kama zile hadharani hivihivi tu. Kwa hiyo maofisa wa jeshi nendeni mkae naye muulize maana inaonekana ana taarifa nyingi.”<br />
<br />
Agosti Mosi mwaka huu, Zombe alimhumu Lema kuwa alikuwa na mtandao wa uhalifu wa wizi wa magari akidai kwamba anao ushahidi wa tuhuma hizo kwa kuwa alipokea taarifa hizo wakati akiwa RCO Dar es Salaam ambazo alidai kuwa alikuwa ameshaanza kuzifanyia kazi kabla ya kukamatwa na kuwekwa ndani kwa tuhuma za mauaji.<br />
<br />
Source: Gazeti Mwananchi.<br />
<br />
<b><u>My Comment</u></b>: Muda si mrefu rangi halisi za huyu mbunge zitakuwa hadharani. <br />
Waliopoteza kura zao kumchagua imekula kwao.
<br />
<br />

magamba kwa kutapatapa hawajambo kuna tetes ziliibulia kwamba atatengenezewa kesi ya madawa ya kurevya muke au yeye mwenyewe wamechemka wameanziza ya ujambazi tujiulize huyo zombe ndojambazi kaperekwa hadi mahakamani tumeona mahakam zetu zisivyo tenda haki kwa mabosi viongozi wengi wa chama tawar na tasisi zake wanabebana

Niwakumbushe mnao jifanya mpo juu ya shelia taa ya umeme haizimwi kwa kupuliza na mdomo au kwa maji

polopaganda za kuwasaidia ni kuboresha huduma za jami si kuwazima wapinzani munavo waita nyie minasema ni watetezi wa wachovu kuwatengenezea kesi haisaidii zombe muda ote alikuwa wapi? Kuhoji bungeni ndoakakumbuka kwamba alikuwa jambazi wa magali
 
<br />
<br />we ni mpuuuzi, mjinga,unafikiri kwa ku2mia makalio, kichwani umejaa hajakubwa kama huyo unayemshabikia.(Zombe)

Unajaza najisi kwenye jamvi. Kama huna hoja kaa kimya, si kuonyesha udhaifu wako kwa kutumia matusi.
 
ssasa hapo anaechunguzwa ni nani kati ya zombe na lema.
tumia ****** kunya na kichwa kufikiria na baada ya kunya utawaze.

Inasikitisha, unatumia matusi kama ngao. Umeshindwa kabisa kutumia nguvu ya hoja? Pole!
 
<br />
<br />

magamba kwa kutapatapa hawajambo kuna tetes ziliibulia kwamba atatengenezewa kesi ya madawa ya kurevya muke au yeye mwenyewe wamechemka wameanziza ya ujambazi tujiulize huyo zombe ndojambazi kaperekwa hadi mahakamani tumeona mahakam zetu zisivyo tenda haki kwa mabosi viongozi wengi wa chama tawar na tasisi zake wanabebana

Niwakumbushe mnao jifanya mpo juu ya shelia taa ya umeme haizimwi kwa kupuliza na mdomo au kwa maji

polopaganda za kuwasaidia ni kuboresha huduma za jami si kuwazima wapinzani munavo waita nyie minasema ni watetezi wa wachovu kuwatengenezea kesi haisaidii zombe muda ote alikuwa wapi? Kuhoji bungeni ndoakakumbuka kwamba alikuwa jambazi wa magali


Lazima sheria ifuate mkondo wake, kama alikuwa jambazi ... jambazi ni jambazi tu, lazima ahukumiwe bila ya kujali yeye ni nani sasa katika CHADEMA. Ikiwezekana mwaandalie wakili mapeema.
Kwa hizi tuhuma dhidi ya Lema ni ngeni? Inafahamika kuwa hana historia nzuri, aliwahi kuwa na kesi kibaao pale mahakamani Arusha.
 
"Sisi tunasema kwa kila taarifa inayotolewa inakuwa na chembe ya ukweli. ...

kwani hawezi mtu mzima kusimama na kutoa taarifa kama zile hadharani hivihivi tu."
Lema, please sue this guys's ass and the whole government, amesha conclude kwamba shutuma zina ukweli, hiyo ni defamation tayari.

Hivi hawa watu Kikwete huwa anawaokota wapi jamani? Maana mpaka umteue mtu ubunge wa bure na kumpa Uwaziri nilitegemea ana distinction na ma uwezo fulani unayotaka ukusaie kwenye cabinet, kumbe ni lizandiki moja sijui limetokea wapi.
 
Lema, please sue this guys's ass and the whole government, amesha conclude kwamba shutuma zina ukweli, hiyo ni defamation tayari.

Hivi hawa watu Kikwete huwa anawaokota wapi jamani? Maana mpaka umteue mtu ubunge wa bure na kumpa Uwaziri nilitegemea ana distinction na ma uwezo fulani unayotaka ukusaie kwenye cabinet, kumbe ni lizandiki moja sijui limetokea wapi.

Lema amepanic, anatafuta pa kujificha....ubavu wa kushtaki hana.
 
Lema amepanic, anatafuta pa kujificha....ubavu wa kushtaki hana.


Kimya kingi kinamshindo,acha magamba waeleze kila kitu akianza yeye mtasikia,kwa hali ya kawaida Lema angepinga sana lakini nafikiri kuna wanasheria wana take note on the whole issue then they will be liable for defamation.Ndio zile pesa Zombe anazodai serikalini zitakapo kuwa kwake ni daraja kwenda kwa Lema.
 
zombe anatuoana sisi bibi zake, waanze kumkamata yeye na kumfungulia mashtaka kwa kuficha majambazi, mana yake anawajua wengi.
 
Kimya kingi kinamshindo,acha magamba waeleze kila kitu akianza yeye mtasikia,kwa hali ya kawaida Lema angepinga sana lakini nafikiri kuna wanasheria wana take note on the whole issue then they will be liable for defamation.Ndio zile pesa Zombe anazodai serikalini zitakapo kuwa kwake ni daraja kwenda kwa Lema.

Jipe moyo, lakini ukweli ni kwamba Mhe Lema anaonekana kukosa raha tangu Zombe aanze kumtaja juu ya uhalifu wake wa zamani. Ni kama kutonesha kidonda, alidhania hayo mambo hayataibuka na sasa rekodi zake za kihalifu ambazo zipo hata mahakamani zitakapowekwa hadharani zitasababisha kifo chake kisiasa.
Anavuna alichopanda.
 
washughulikie mafisadi kwanza na hata kama alikuwa mwizi ni hali ya maisha iliyosababishwa na wana magamba kwa sababu wao ndio wezi wakubwa kwa sababu wanawaibia wananchi pesa nyingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom