once a thief, always a thief!
kimchezo kama hiki kimemliza mwakalinga huko kyela. Wiki moja kabla ya uchaguzi wapambe walishafahamu kuwa watashindwa vibaya sana. Rafu zilipangwa na zikawa zinachezwa waziwazi. Nilimuonya mtani wangu aingie chadema walau huko ataweza kutetewa mana ccm ina wenyewe. Na wenyewe hao kama keil na pasco walivyosema, "....ccm itahakikisha wapiganaji wanarudi mjengoni kwa hali na mali ili wasipige makelele na kumwaga siri nzito za richmonduli na mengineyo."
ila kwa kutumia mbinu chafu kuingilia mjengoni, mbunge wenu huyo ndiyo kashajiondolea meno yake bungeni. Atakuwa mpole kama kondoo kwani ccm wana machafu yake yoote na wanaweza hata kumshtaki kwa kutumia takururu huku wakijifanya kuwa wamepata hizo data hivi karibuni. Ni kama yule mwenyekiti wa umoja wa vijana-ccm ambaye walimuondoa kwa sababu alidanganya miaka.
Kweli hiki chama cha mafia. Wanakupa kazi huku wamekushika pabaya. Ukiropoka tu...........................
Did anyone watch Channel 10 or ITV news last night?
did anyone watch channel 10 or itv news last night?
Kimchezo kama hiki kimemliza Mwakalinga huko Kyela. Wiki moja kabla ya UCHAGUZI wapambe walishafahamu kuwa WATASHINDWA vibaya sana. Rafu zilipangwa na zikawa zinachezwa waziwazi. Nilimuonya Mtani wangu aingie CHADEMA walau huko ataweza kutetewa mana CCM ina wenyewe. Na wenyewe hao kama KEIL na PASCO walivyosema, "....CCM itahakikisha WAPIGANAJI wanarudi mjengoni kwa hali na mali ili wasipige makelele na kumwaga siri nzito za RIchmonduli na mengineyo."
Ila kwa kutumia mbinu chafu kuingilia MJENGONI, mbunge wenu huyo ndiyo kashajiondolea MENO yake bungeni. Atakuwa Mpole kama kondoo kwani CCM wana machafu yake yoote na wanaweza hata kumshtaki kwa kutumia TAKURURU huku wakijifanya kuwa wamepata hizo data hivi karibuni. Ni kama yule mwenyekiti wa Umoja wa vijana-CCM ambaye walimuondoa kwa sababu ALIDANGANYA MIAKA.
Kweli hiki chama cha Mafia. Wanakupa kazi huku wamekushika PABAYA. Ukiropoka tu...........................