Fullfigadiva J
Member
- Sep 29, 2011
- 92
- 18
Kumekuwa na wizi mbalimbali bandarini ikiwemo Kontena 4 za shaba zenye thamani ya million 900, Kontena hizi zilitakiwa zisafirishwe nje ya nchi lakini zikaibiwa na hazijulikani zilipo.
Ukweli ni kwamba kontena hizi zimeibiwa pale TICTS na kusafirishwa kwenda destination ingine. TPA, Police na walinzi binafsi mnahakikishaje usalama wa mali za watu.
Hii ni wazi kuna viongozi wa TICTS wanahusika pamoja na walinzi. Polisi msinganganie kutuliza chadema badala ya kulinda njia za uchumi kama bandarini.
Kuna ufisadi mkubwa sana Container terminal kwani kuna mtu anawadai gharama za mali yake ya tumbaku kavu ambayo ilitakiwa isafirishwe kwenda UK na wao wakaichelewesha hata iliposafirishwa ilikosa ubora kule UK.
Ukweli ni kwamba kontena hizi zimeibiwa pale TICTS na kusafirishwa kwenda destination ingine. TPA, Police na walinzi binafsi mnahakikishaje usalama wa mali za watu.
Hii ni wazi kuna viongozi wa TICTS wanahusika pamoja na walinzi. Polisi msinganganie kutuliza chadema badala ya kulinda njia za uchumi kama bandarini.
Kuna ufisadi mkubwa sana Container terminal kwani kuna mtu anawadai gharama za mali yake ya tumbaku kavu ambayo ilitakiwa isafirishwe kwenda UK na wao wakaichelewesha hata iliposafirishwa ilikosa ubora kule UK.