Katibu mkuu kiongozi ametoa waraka kwa makatibu wakuu wote wa wizara" KUONGEZA MUDA BODI ZA WAKURUGENZI WA MASHIRIKA NA TAASISI ZA SERIKALI ZILIZOMALIZA NA ZINAZOTARAJIA KUMALIZA MUDA WAKE" ili kunusuru ubadhlifu unaoweza kutokea pale mashirika yanapokuwa bila usimamizi. Wizara ya miundombinu tofauti na wizara nyingine mpaka sasa haijatekeleza agizo hilo kwani viongozi wa wizara hiyo wakishirikiana na menejimenti za mashirika yaliyochini yake yananufaika sana kuhujumu mali wakati wa ombwe hili la usimamizi hususani shirika la ndege la Taifa ATCL ambako mali zinauzwa kiholela na wizara inafumbia macho!!