Sasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?
Wameshamsoma Mwanahamisi, wanaanza kujirekebisha. Nchi hii kila idara imeshikwa akili, mpaka watingishwe ndio wanazinduka.Sasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?
Aanze kujifuta mwenyewe.Tumechelewa
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Awafute Kazi Hao
Walikuwa Wapi
Rais kasema ni marufuku kupost kila anaekufa kwa coronaNa wala hakuna sababu ya kuzuia watu kuchukua picha na video za kumbukumbu za wapendwa wao wanapopumzishwa kwenye nyumba yao ya milele.
Unforgetable
Ummy anawaza kugombea Tanga mjini mambo ya kolonya hayamuhusuSasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?
Tatizo liko hapa, hao wataalamu mbona hawawezi kujitokeza na kuwapinga hawa wanasiasa? Nangalia USA kwa mfano, Dr. Anthony Fauci anajibu technical questions daily, wanapredict vifo na cases za COVID 19. Trump anatekeleza bila ubishi wowote. Maseneta wanapokea reports za majimbo toka kwa wanasayansi, nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine kama kumbukumbu hakuna ni shida kweli. Kwani walipokuwa wanakanusha hakuna anayezikwa usiku hii marufuku sasa ni ya nini?Sasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?
Itakuwa wanegundua Kuna negative impact kubwa mno kwa kitendo hicho,,maana wafiwa hawatasahau hata kwa miaka 50 ijayoMambo mengine kama kumbukumbu hakuna ni shida kweli. Kwani walipokuwa wanakanusha hakuna anayezikwa usiku hii marufuku sasa ni ya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifimbo chezaHivi kweli hii ni barua au taarifa ya wizara?!? Kama ni kweli inaelekea ndani ya serikali Kuna watu hawajui kabisa lugha kikiwemo hata Kiswahili...shame on them...Hakuna neno swala au maswala kwa maana inayoeleweka kwa barua au taarifa hiii..ila Kuna suala au masuala..