WITO: Vyombo vya Habari endeleeni kugomea habari za RC Dar kimya kimya!

Waziri kivuli

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
2,987
3,450
Tukio la jana hakika limewaacha wadau midomo wazi!TEF imeidhalilisha sana tasnia ya habari nchini!Nilitegemea mkutano ule, Makonda aombe radhi japo bado kungekuwa na kasoro fulani maana alitenda jinai na kesi ilishafungukiwa Oysterbay! Lakini kwa jeuri, Makonda akasema kuwa hawezi kuomba radhi!!!

Akasisitiza tena kwa herufi kubwa kuwa hawezi kuomba radhi!Cha ajabu TEF wakatoa msamaha na kumfungulia,leo tunasikia kuna kutofautiana baina ya wajumbe!!!!
Waandishi walihoji maswali,wajumbe wakabaki kubabaika!

Kuna haja ya jukwaa hilo kuvunjwa maana limeshindwa kusimamia haki,weledi na heshima!

Lakini pia nawapa wito vyombo vya habari kuendelea kususia habari za Makonda!

Huyu kijana anajiona Mungu mtoto ndani ya nchi hii!
 
Tukio la jana hakika limewaacha wadau midomo wazi!TEF imeidhalilisha sana tasnia ya habari nchini!Nilitegemea mkutano ule,Makonda aombe radhi japo bado kungekuwa na kasoro fulani maana alitenda jinai na kesi ilishafungukiwa Oysterbay!Lakini kwa jeuri,Makonda akasema kuwa hawezi kuomba radhi!!!
Akasisitiza tena kwa herufi kubwa kuwa hawezi kuomba radhi!Cha ajabu TEF wakatoa msamaha na kumfungulia,leo tunasikia kuna kutofautiana baina ya wajumbe!!!!
Waandishi walihoji maswali,wajumbe wakabaki kubabaika!

Kuna haja ya jukwaa hilo kuvunjwa maana limeshindwa kusimamia haki,weledi na heshima!
Lakini pia nawapa wito vyombo vya habari kuendelea kususia habari za Makonda!
Huyu kijana anajiona Mungu mtoto ndani ya nchi hii!

Amesema akiwepo yeye Mahali Mungu anakuwepo.Hahahhahahahahah huyu Mungu wake ambaye anapenda KIBURI,JEURI na KUJIONA sijui ni wa wapi huyu labda wa Magogoni
 
Tukio la jana hakika limewaacha wadau midomo wazi!TEF imeidhalilisha sana tasnia ya habari nchini!Nilitegemea mkutano ule,Makonda aombe radhi japo bado kungekuwa na kasoro fulani maana alitenda jinai na kesi ilishafungukiwa Oysterbay!Lakini kwa jeuri,Makonda akasema kuwa hawezi kuomba radhi!!!
Akasisitiza tena kwa herufi kubwa kuwa hawezi kuomba radhi!Cha ajabu TEF wakatoa msamaha na kumfungulia,leo tunasikia kuna kutofautiana baina ya wajumbe!!!!
Waandishi walihoji maswali,wajumbe wakabaki kubabaika!

Kuna haja ya jukwaa hilo kuvunjwa maana limeshindwa kusimamia haki,weledi na heshima!
Lakini pia nawapa wito vyombo vya habari kuendelea kususia habari za Makonda!
Huyu kijana anajiona Mungu mtoto ndani ya nchi hii!
It's so shameful kwakweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kiukwel dogo anajiskia sana huyuu, yan ivi jna angeomba tu radhi ili kuwardhisha wale waliokwazika na kile kitendo kulikua na tatizo gani au anahisi ukuu wa mkoa ni cheo kikubwa hivoo akistahili kuomba radhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati tunasemaga kubali yaishe, ni ngumu kupambana na Bashite. Kama mkulu anamkubali nani wa kusema No?.
Kweli.Kubali yaishe.TISS nzima iko chini ya Bashte.
Cha kufanya ni kuendeleza mgomo baridi.

Habari nyingi za Makonda hazina faida kwa mwananchi wa chini zaidi ya kumuongezea kero tu.
 
Vigome mara ngapi mkuu, mbona waliogomea kwa pamoja kutotangaza habari zake lakini ghafla kuna media zikaanza kutungaza.
Hao ni wale ambao wana njaa!Media zinazoongoza kuangaliwa Tanzania ni IPP media na clouds media na azam media!Waliobaki wengi wao makanjanja!Naamini magazatei na vyombo hivi vitatu vikikaza basi Makonda atakuwa analazimika kujirecord na kuweka youtube kama zamani!
 
Kwanini nisiamini kuwa bashite amehonga baadhi ya wajumbe wa TEF? maamuzi yaliyochukuliwa na TEF yameidharirisha tasnia ya habari nchini. Eti mtu kwa majivuno kabisa anasema siombi radhi na bado mnatoa msamaha! TEF hamtaaminika tena kwa ubashite wenu
 
Back
Top Bottom