Mheshimiwa mbunge naomba ulitolee tamko hili la viwanja vya Gezaulole!
Kwanza wale waliokuwa na mashamba yale walidhurumiwa na wilaya ya temeke kwa kisingizio cha uendelezaji mji,lakini ilikuwa ni mbinu ya wakubwa kuwadhurumu wananchi asilia.
Sasa, tunakuomba uwaulize na wakupe takwimu waliolipwa ni malipo sahihi au ni ujanja ujana wa mradi mpya tunakuomba ufuatilie kala hatujachukua sheria mkononi maana hilo halina mjadala.
Tumeonewa kiasi cha kutosha, tumedhurumiwa vya kutosha sasa runataka haki yetu na malipo halali maana tulipewa malipo pungufu sana!
Kwanza wale waliokuwa na mashamba yale walidhurumiwa na wilaya ya temeke kwa kisingizio cha uendelezaji mji,lakini ilikuwa ni mbinu ya wakubwa kuwadhurumu wananchi asilia.
Sasa, tunakuomba uwaulize na wakupe takwimu waliolipwa ni malipo sahihi au ni ujanja ujana wa mradi mpya tunakuomba ufuatilie kala hatujachukua sheria mkononi maana hilo halina mjadala.
Tumeonewa kiasi cha kutosha, tumedhurumiwa vya kutosha sasa runataka haki yetu na malipo halali maana tulipewa malipo pungufu sana!