bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Katibu Mkuu wa CCm Wilson Mukama amekosoa hatua ya wabunge kujiongezea posho za kikao (sitting allowance) badala ya posho za kujikimu (DSA). Mukama amesema kama swala ni gharama kubwa ya maisha mjini Dodoma, basi wabunge walipaswa kuongezewa DSA na sio sitting allowance kama walivyofanya.
Source: Mlimani TV news, special interview
Source: Mlimani TV news, special interview