william malecela baba yako amenufaika na mfumo mbovu wa ccm pamoja na wewe mwenyewe bado analindwa kwa pesa zetu za alala hoi na wewe unakuja na upuuzi wa magari sasa unataka mbowe atembelee mkokoteni?umejidhalilisha hususan mkeo umemtia aibu mbele ya umma pole sana ujuha wako,ulofa na uhayawani.dunia imebadilika kuwapigania wanyonge sio lazima uwe maskini:lock1:
chini ya umakamu mwenyekiti wa john malecela ndie alianzisha mpango wa kuiba kura za walalahoi kupitia chaguzi ndogo na hii laana haitatoka ndani ya familia maana watanzania wengi wamedhurumiwa haki zao sasa wewe ni zao la mafisadi na mwenyekiti wa chadema hana kashfa yoyote ya kuhujumu uchumi kila biashara yake ni halali lakini malecela unaona hata medali ya miaka 50 ya uhuru hakupata kitu kuonesha hujuma alizoasisi ndani ya chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.