Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,170
anapajua mwenyewe
anajitoa tu fahamu
anajitoa tu fahamu
Muoneshe kuwa wembe wa Tandale umepiga bao soko la mchina @!!!
Muoneshe kuwa wembe wa Tandale umepiga bao soko la mchina @!!!
Jamani Kipipi wangu wapi na lini nkakukwepa wewe! Mie nipo mpendwa wewe tu! Sema kabla hujafichwa na Valentine wako!
anapajua mwenyewe
anajitoa tu fahamu
Hapatikani nadhani Yuko kijijini zaidi! Natuma meseji
hahah........alafu wamechikichia na Kaunga, sijui kaenda kumtembeza kwa mtogole!!!
Kaunga @Shanghai, @Guan zou.......nitakufata huko huko China!!
kuna vichwa humu vina upepo wa kupendwa tu
Kipipi! Do not pull my legs plz! Nipo hapa naleweshwa tu na haya malavidavi ya haka ka-son kangu sa sijui nako kanaelewa mwezi wa valentine huu! Maana nashangaa leo kila saa kananihug, mara kanichum hadi nashangaa! Imenibidi nikae nae tutizame Kirikou hapa!!!Nimekusubiri mpaka nimechoka, we unachungulia halafu unaondoka.....sawa tuu! Mie sitafichwa na mtu Mj1......know that you are my valentine, niruhusu nikufate huko huko!!!
Kipipi! Do not pull my legs plz! Nipo hapa naleweshwa tu na haya malavidavi ya haka ka-son kangu sa sijui nako kanaelewa mwezi wa valentine huu! Maana nashangaa leo kila saa kananihug, mara kanichum hadi nashangaa! Imenibidi nikae nae tutizame Kirikou hapa!
Nambie basi nikufuate wapi we mwana
Jamani mbona sianzishiwi thread ? Nitafute nami MJ1
Jamani mbona sianzishiwi thread ? Nitafute nami MJ1
Kongosho unakashfa nyingi nipe heshima
Hah Kongosho Babu ODM anajifua kwa valentine!
Salamu zimefika.Ingawa amenifukuza nyumbani eti kuzeekea kwake siolewi, sitongozwi ni mkosi.
Kongosho hapo juu. Waweza mruhusu ODM alale kitandani kwa amani? MJ1 siku hizi ni mjukuu mkorofi. Kamkimbia babu kahamia kwa anko..... Kongosho come this way baby....