Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Mikataba yote ya UFISADI DUNIA NZIMA inawekwa hapa:
http://wikileaks.org/wiki/Wikileaks
http://wikileaks.la/wiki/Wikileaks
Sasa serikali ya Tanzania ina option:
Either iendelee kuwatisha watu au ishirikiane na online community kupata ufumbuzi wa matatizo ya wasio na uwezo wa kutumia hizi computers.
Kwanza kabisa naona kuna atmosphere ya FEAR ishaingia humu na I can understand kwa nini hili linatokea. Serikali inaona inalose hii vita dhidi ya internet na sitoshangaa kama hii website ikiwa shut down sasa naona bora kuwepo kwa PLAN B
Kwanza kila mmoja humu afungue anonymous blog ambayo atakuwa anweza upupu na leaks zake bila kumoderate kitu
Wana JF inabidi tuachane na kuthink local...we need to think Global na kama mnataka kutia preassure iwepo TRANSPARENCY serikalini inabidi mulobby kwa international pressure groups ambazo nyingi hawajui KISWAHILI sasa hebu kwa wenye uwezo tengenezeni na zingine zenye Kiingereza kisha mnaweza kuzilink na organizations kama TRANSPARENCY INTERNATIONAL etc
Nashauri kama kuna mtu katishwa basi msipate tabu nyie wekeni majina yao, rank zao na kituo gani wanatoka kisha tuone kama wanaweza kuishut down dunia nzima
Mwisho nashauri mtembelee hii WIKILEAKS kwani jana naona Federal Judge ametoa amir iwe shut down lakini kwa walionje ya USA mambo safi kuna mikataba yote ya UFISADI DUNIA NZIMA
http://wikileaks.org/wiki/Wikileaks
IMETOLEWA AMRI JANA NA JAJI KULE USA IWE SHUT DOWN KWANI KUNA THOUSANDS OF DOCUMENTS ZA SWISS BANK ACCOUNTS ZILIMWAGWA HUMU NA ZINGINE ZA CAYMAN ISLANDS LAKINI ALTERNATIVE NI HIZI HAPA:Wikileaks, a wiki-based information clearinghouse for whistleblowers that TIME said "... could become as important a journalistic tool as the Freedom of Information Act.", has had their .org domain taken offline due to an illegal court order out of California. The court took them offline because they leaked files documenting many rich, powerful people in the United States, some of them running for president, using offshore banking to evade taxes.
http://wikileaks.la/wiki/Wikileaks
Sasa serikali ya Tanzania ina option:
Either iendelee kuwatisha watu au ishirikiane na online community kupata ufumbuzi wa matatizo ya wasio na uwezo wa kutumia hizi computers.
Kwanza kabisa naona kuna atmosphere ya FEAR ishaingia humu na I can understand kwa nini hili linatokea. Serikali inaona inalose hii vita dhidi ya internet na sitoshangaa kama hii website ikiwa shut down sasa naona bora kuwepo kwa PLAN B
Kwanza kila mmoja humu afungue anonymous blog ambayo atakuwa anweza upupu na leaks zake bila kumoderate kitu
Wana JF inabidi tuachane na kuthink local...we need to think Global na kama mnataka kutia preassure iwepo TRANSPARENCY serikalini inabidi mulobby kwa international pressure groups ambazo nyingi hawajui KISWAHILI sasa hebu kwa wenye uwezo tengenezeni na zingine zenye Kiingereza kisha mnaweza kuzilink na organizations kama TRANSPARENCY INTERNATIONAL etc
Nashauri kama kuna mtu katishwa basi msipate tabu nyie wekeni majina yao, rank zao na kituo gani wanatoka kisha tuone kama wanaweza kuishut down dunia nzima
Mwisho nashauri mtembelee hii WIKILEAKS kwani jana naona Federal Judge ametoa amir iwe shut down lakini kwa walionje ya USA mambo safi kuna mikataba yote ya UFISADI DUNIA NZIMA