Museveni ni kibaraka wetu, hawezi kusema "kwi" kwa Watanzania, sisi ndio tulimuweka na sisi ndio tutaamuwa nani awe Rais mwingine wa Uganda.
Tatizo kubwa la wikileakes ni kutangaza habari ambazo zilizungumza private. Kila mmoja anakubali kua kuna mambo ni lazima yawe private vinginevyo yanaweza kuvuruga amani.
Kagera mjiandae, Mu7 akisoma hii vita vya Kagera vimerudi. Uganda itatupa kichapo tena
Museveni ni kibaraka wetu, hawezi kusema "kwi" kwa Watanzania, sisi ndio tulimuweka na sisi ndio tutaamuwa nani awe Rais mwingine wa Uganda.
Kagera mjiandae, Mu7 akisoma hii vita vya Kagera vimerudi. Uganda itatupa kichapo tena
Hii naona haijakaa vibaya sana. Sijui Museven atasemaje lakini Kikwete anaonekana kumjua vizuri jirani yake.
ka! Kumbe.museveni ni kibaraka wetu, hawezi kusema "kwi" kwa watanzania, sisi ndio tulimuweka na sisi ndio tutaamuwa nani awe rais mwingine wa uganda.
<br />SIKUBUKI KAMA KATIKA HISTORIA YETU UGANDA WALIWAHI KUTUCHAPA (sichochei vita ila UKWELI NA UITWE UKWELI)
Swali langu ni moja tu, Je alisha wahi kumwambia Mu 7 kuhusu hayo uso kwa uso? kama ni ndyo basi alifanya vyema, lakini kama sivyo basi itaonekana kuna siasa za kichochezi.
Hii wataanda press conference ya kuisifia, na kusema hapa wikileaks wameongea ukweli, lakini kwenye suti walidanganyaHuenda hii haitokanushwa na kina Salva!...........na nitawashangaa wakikaa kimya bila kusema chochote!
sharobaroohh kanunuliwa siti mara ohh sijui niini
mbona hapa hajavaa hiyo suti mnayompakazia?
Hii wataanda press conference ya kuisifia, na kusema hapa wikileaks wameongea ukweli, lakini kwenye suti walidanganya