charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Kuna kila dalili kuwa huyu mama atashindwa kulimudu bunge la kumi. Anaendekeza sana itikadi za vyama kuliko ukweli. Kwa mtu yeyote mwenye jimbo lake hata kama angekuwa yeye ndiyo mbunge wa arusha, ni lazima angesimama na kupinga hoja ya mhe. Pinda.
Tusubiri tuone, lakini dalili si nzuri baada ya wiki ya kwanza ya bunge.
Tusubiri tuone, lakini dalili si nzuri baada ya wiki ya kwanza ya bunge.