Karibuni jamani....lunch iyooo...View attachment 65050
Wanamuita Noah eti...af Madame B vipi??!
Mama nani eti??!
BelindaJacob huko mbali na maeneo yangu ya kujidai aisee labda unialike niwe na company..yaani hujawahi kula mnyama pale kwa Mama Kamche??? Tembelea mkuu pale, opposite na kakobe.
BelindaJacob huko mbali na maeneo yangu ya kujidai aisee labda unialike niwe na company..
Ipo hii kitu fresh kwa mama toni, huku boko
Sielewielewe, kama vile naona mtura!Inatiwa kwenye foil. Ikiwa tayari inakuwa hivi
Sielewielewe, kama vile naona mtura!