. . . . the only reason women think all men are the same is bcoz sometimes BOYZ pretend to be MEN
Gdnyt JF
CPU .....ze quote means all men are after issues (eating issuez). UKWELI NI KWAMBA........ WANAUME HATUSHIBI UJI.
. . . . the only reason women think all men are the same is bcoz sometimes BOYZ pretend to be MEN
Gdnyt JF
all men/boys are dogs!!:A S 20::A S 20:
Inawezekana my dear, lakini mi ndivyo ninavyofikiria tu juu ya wanaume! Kwamba kwa factor hiyo Baba yao ni mmoja. Wanafanana!!
i dont want to agree with you!!.. there are good men out there!! si lazima samaki mmoja akioza wote wameoza!! dont want to believe thhis
Naona wanawake wengi wanaochangia hapa wameumizwa
Mshiki wewe hauwezi umizwa bana l.o.lAfu wewe!!!
Khee khee kheeWe si unamuona yule HATOSHEKI kaleta sredi ya kuachwa siku 3 tu baada ya kumtamani mume wa jirani. Yaani hawatosheki kweli kweli hawa viumbe