Why not us called PCCB for interview?????

First polen wenzang ambao hamkuitwa...uuuups its so sad and its like movie you know what watu tulikuwa tunaisubiria kwa hamu ila tumepigwa chini hta kwenye shortlist hatuwepo..
.....is that true somebody kasema watu tulosomea fani ya marketing,education and sociology tumewekwa pending... mmmh????
Anyway mwaka ushaanza na bado mwanga wa kupata ajira ishakuwa gundu.... mmm kujiajir financial problems... vibarua havieleweki..had tunamuuliza muumba why not us.....
Best wishes mloitwa kwa interview
Pls I need advice mlopata kazi mlipitia tabu kama hizi???

wewe unatuchora tu! ndo nyie mnaotaka kujua idadi ya waliokosa ili muwacheke...
 
ICHANA Why not us called PCCB for interview?????

Naendelea kufikiria maana yake...Ujumbe haueleweki.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo mlikimbia masomo ya science sASA Mmejazana sijui law,socialogy,teaching nk....washaurini wadogo zenu wasome sayansi bwana....akh yani kuna chuo fulani ata wanaosomea ualimu ni wamasomo ya sanaa tu sasa ajira ndo kiboko ata km unakadegree kasanaa

hiyo socialogy ndiyo nini mkuu? hata kuku wangu wamekuzidi akili
 
ukiona ujumbe hauelewi ujue kuw haukuhusu, wahusika wameelewa na wamejibu

Wewe ndiyo hujanielewa. ICHANA analalamika hajaitwa kwenye usaili. Angalia kichwa cha hii "thread" - Why not us called PCCB for interview?????. Ni dhahiri kabisa kwamba uwezo wake wa lugha ni mdogo! Inawezekana barua yake ya maombi iliandikwa kwa mtindo huu. Makosa ya herufi yanakubalika lakini makosa ya "grammar" hayakubaliki, hasa lugha ya kiingereza! Tusiwe wepesi kulaumu kutokuchaguliwa!
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndiyo hujanielewa. ICHANA analalamika hajaitwa kwenye usaili. Angalia kichwa cha hii "thread" - Why not us called PCCB for interview?????. Ni dhahiri kabisa kwamba uwezo wake wa lugha ni mdogo! Inawezekana barua yake ya maombi iliandikwa kwa mtindo huu. Makosa ya herufi yanakubalika lakini makosa ya "grammar" hayakubaliki, hasa lugha ya kiingereza! Tusiwe wepesi kulaumu kutokuchaguliwa!

we mwenye grammar nzuri mbona hujaitwa?
 
Last edited by a moderator:
we mwenye grammar nzuri mbona hujaitwa?

Masikini wee. Kwanza, kwataarifa yako, sikuomba hizo nafasi. Pili, wote hatuwezi kufanya kazi PCCB. Kuna maisha mazuri tu sehemu zingine, tena majani ni mabichi kuliko "kutumika" hapo PCCB.
 
Masikini wee. Kwanza, kwataarifa yako, sikuomba hizo nafasi. Pili, wote hatuwezi kufanya kazi PCCB. Kuna maisha mazuri tu sehemu zingine, tena majani ni mabichi kuliko "kutumika" hapo PCCB.

Hukuomba kwakuwa haukuwa na vigezo vilivyo ainishwa.... ni kweli wote hatuwez fanya kazi pccb na unajijua kuwa haukuomba kwahyo kilichokuleta kwenye huu uzi ni umbea tu na si kingine
 
Wewe ndiyo hujanielewa. ICHANA analalamika hajaitwa kwenye usaili. Angalia kichwa cha hii "thread" - Why not us called PCCB for interview?????. Ni dhahiri kabisa kwamba uwezo wake wa lugha ni mdogo! Inawezekana barua yake ya maombi iliandikwa kwa mtindo huu. Makosa ya herufi yanakubalika lakini makosa ya "grammar" hayakubaliki, hasa lugha ya kiingereza! Tusiwe wepesi kulaumu kutokuchaguliwa!

nadhan uwezo mdogo wa lugha ya kiingereza hata mbunge wako anao,lugha hii si yatu,je umeelewa content????usimuhamishe kwenye mada mdau
 
Last edited by a moderator:
nadhan uwezo mdogo wa lugha ya kiingereza hata mbunge wako anao,lugha hii si yatu,je umeelewa content????usimuhamishe kwenye mada mdau

Endeleeni kumtetea "hapa jukwaani" lakini imeshakula kwake. Wewe unasema "content" wakati wataalamu wa PCCB yamkini wanahitaji "ufanisi". Asikate tamaa, maisha yataendelea tu.
 
Hukuomba kwakuwa haukuwa na vigezo vilivyo ainishwa.... ni kweli wote hatuwez fanya kazi pccb na unajijua kuwa haukuomba kwahyo kilichokuleta kwenye huu uzi ni umbea tu na si kingine

Kazi ninayoifanya inanitosha kabisa. Nimeridhika. Sihitaji kazi nyingine kwasasa.
 
First polen wenzang ambao hamkuitwa...uuuups its so sad and its like movie you know what watu tulikuwa tunaisubiria kwa hamu ila tumepigwa chini hta kwenye shortlist hatuwepo..
.....is that true somebody kasema watu tulosomea fani ya marketing,education and sociology tumewekwa pending... mmmh????
Anyway mwaka ushaanza na bado mwanga wa kupata ajira ishakuwa gundu.... mmm kujiajir financial problems... vibarua havieleweki..had tunamuuliza muumba why not us.....
Best wishes mloitwa kwa interview
Pls I need advice mlopata kazi mlipitia tabu kama hizi???

Acha kubweteka na hako ka bachelor!
Yupo jamaa mmoja kamaliza degree, afanya vibarua vya ujenzi. Ukumbuke ukipata fundi mzuri, kwa siku hukosi elfu 10-15! Maisha yanaenda, ana mke na watoto wawili kwani alipata girlfriend wakiwa chuo na bahati mbaya huyo dada naye kazi formal hajapata bado.
 
Sasa unatafuta nini hapa, au ndio umekuja kukagua grammar???? nenda jukwaa la siasa ukabishane kuhusu zitto na lowassa

Katika jukwaa ambalo huwa sinamuda nalo ni la siasa. Hata hivyo, siasa siyo kufuatilia mtu, yaani Zitto au Lowassa. Siasa ni kujali maslahi ya wananchi kwa ujumla.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom