NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Kichwa kipi mpwa? andika kirefu mazee!
Kichwa chenye Ubongo
Hivi kuna kichwa kisichokuwa na ubongo? (Niko ndani ya perimeter I think)
ha ha ha! kingine huwa akilalagi na kikifanya kazi kuliko chenye ubongo huwa chenye ubongo kinasiizi kufanya kazi kama ni mwanafunzi anachoka kbs class anakuwa wa mwisho(to some)
Ukitoka nje kwenye thread ya wapwa no P. yale walioko too sensitive ndio kuna ziiiiiiiiiiiiMpwa hauoni unastahili zii kwa ajili ya kutoka off point? Hahahaha! Wapwa bana!
Hahahahah hao hao nyeupe to Goldish......ubarikiwe mimi niko kwenye mafungo naombea Nguli, Xpin, Yo Yo, Fidel na watu wa jinsi hiyo!
Hehehehe natamani sana hawa blondes bahati mbaya kila nikirusha kete natoswa ngoja natafuta uchawi ili nifanikiwe kujiexpress.
Blondes au mikonge ni wajinga kwa sababu mara nyingi hawasemi NO!!
- ni imani tu,kuna redheads na brunetes vichwa maji kwenda mbele!!Hahahha unataka nishika wewe! wanawake wenye nywele nyeupe wazungu, (blondes) huchukuliwa na wengi kuwa ni warembo....ila kuna imani pamoja na uzuri wao ni wajinga hahahahah
Masanilo,
Nimeshasikia joke kadhaa jinsi hawa blondes walivyo wajinga. Zaidi ya hiyo ni kuwa hawa watu inasemekana wanapenda sana kufanya mapenzi. Sasa kuna maswali ya kisomi:
1. Swali: Kwa nini kukiwa na baridi, blonde wanakaa kwenye kona ya chumba?
Jibu: Kwa sababu hapo kuna nyuzi 90.
2. Swali: Ukipanda juu ya ghorofa na kuwarusha blonde na redhead, utakuta nini chini?
Jibu: Utamkuta Redhead peke yake kafa (blonde atakuwa kapotea hapo njiani).
JOKE: Cell pekee yenye akili ambayo blonde anayo ni: Spermatozoon (Sperm cells).