MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,695
- 31,499
Wana zengwe
Nawaambieni, tafuna mifupa wakati meno bado yapo
Weekend hii imekua mbaya sana, nilijipanga kwenda kuona maziko ya mnyama pale kwa Mkapa, ila wale wa Botswana wapuuzi sana, wakachezesha watu wenye utapia mlo(vitambi) mambo yakawa siyo mambo.
Sasa nimetulia sehemu nakunywa vitanua moyo (beers) aliingia mdada mmoja mzuri sana kwa viwango vya kimataifa.
Kiherehere au sijui ni nyege, mchizi mmoja, mtu wa makamo hivi si akajilipua kwenda kulianzisha, aisee, nyinyi wanawake wa mjini, mtaua watu kwa pressure, demu akamchana live mchizi "Who wants to hang with the ancestor?"
Niko hapa natafakari sisi ancestors tutatoboaje kwenye haya mapenzi!
Nawaambieni, tafuna mifupa wakati meno bado yapo
Weekend hii imekua mbaya sana, nilijipanga kwenda kuona maziko ya mnyama pale kwa Mkapa, ila wale wa Botswana wapuuzi sana, wakachezesha watu wenye utapia mlo(vitambi) mambo yakawa siyo mambo.
Sasa nimetulia sehemu nakunywa vitanua moyo (beers) aliingia mdada mmoja mzuri sana kwa viwango vya kimataifa.
Kiherehere au sijui ni nyege, mchizi mmoja, mtu wa makamo hivi si akajilipua kwenda kulianzisha, aisee, nyinyi wanawake wa mjini, mtaua watu kwa pressure, demu akamchana live mchizi "Who wants to hang with the ancestor?"
Niko hapa natafakari sisi ancestors tutatoboaje kwenye haya mapenzi!