Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
halafu hii mitandao isiwafanye binadam wakasahau ubinadamu wao. hujafa hujaumbika, na hizo wax muombe msije mkatumia siku mkashangaa mnaota nyasi haya...
umeona eeh...!afu mi nakwambia wanaomtetea hawampendi hata kidogo maana wanazid kumharibu najua atakua anasoma sana hapa ili kesho tuchambwe kule kwake na team water mark.
Ila anapaswa ajiulize kwa nini hawa wananichochea?
Wengine wanapinga yupi mzuri yupi mbaya...?