lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,116
- Thread starter
- #181
HAHHAAAAAAAAA! ILA MPAPA UMEPATA PUBLICITY JAMANI! Mange wala hakutaka kumkomoa ALITAKA TU AMNYAMAZISHE KIDOMO DOMO HUONI SAIVI KUFYATAA KIMYAAAAA, KASHIKA ADABU ZIMEMSHIKA.? Angetaka kumkomoa angeuanika, ila anajua akiuanika utazoeleka ndo anautumia huo mpapa kama shield dhidi ya kidomo domo cha chagga! Na hata Sinta mpapa wake nae umewekwa bondi hadhubutuuu kufurukuta maana alidai mpapa unanyolewa na topaz una minundu bora aende waxing! Hahaaaaa! Wot wako BOND hamna anaefurukuta. Ndo ujue hana nia ya kuwakomoa bali hataki wamuingilie kwenye mambo yake kinyume na maumbile. Hahaaaaa!kwa chaga bibi hajamkoa ndio kwanza kamtafutia soko coz yule ile ni biashara kwake hajafanya kitu pale. siku ile alivyowapa evidence na kukiri kuwa haraka ya biashara ilimfanya aweke ile pic ilitosha kabisa. sasa anavyozidi kuuwekea mafuta huu moto hautaisha watazidi kumuandama tu kila siku watakuwa wanatafuta wapi amejikwaa