Who is Joseph Kabila and did he assassinate his ‘father’?

Habari hii huenda ina ukweli ndani yake hasa ukiwa ni mfuatiliaji wa siasa za upande wa Maziwa Makuu. Ila sasa kitu kimoja jamaa haonyeshi kwamba Joseph Kabila alisoma Tanzania kitu ambacho ni kweli kwamba alisoma nchini Tanzania shule ya Sekondari.
 
Hii taarifa tayari ilishaandikwa na gazeti la mwanaharisi mwaka huu,lakini Kabila kabla ya pilikapilika za uchaguzi ili halikuwepo.
 
Lakini ni kweli kabila amejiweka karibu zaidi na wanyarwanda(kagame)kuliko wakongoman,inasemekana hata kikosi cha ulinzi wa rais kinaongozwa na wanyarwanda aliopewa na kagame wamlinde,hivyo hana ujanja mbele ya kagame amabae alikua adui no 1 wa "babake" hii wacongo inawasumbua,hata lile jaribio la kuumuua ikulu mwanzoni mwaka huu ni kutokana na chuki hizo,unajua wacongoman hawawapendi sana wanyarwanda hususan kagame wanawaona kama ni wezi wa rasilimali zao,kitu ambacho ni kweli,rwanda kiukweli inajengwa na congo.wao wacongo wana msemo wao wanasema mungu wakati anaiumba dunia alipofika eneo la maziwa makubwa wakati anafanya uumbaji wa eneo hili alikua anafanya kazi hiyo usiku anakwenda kulala rwanda matokeo yake alipomaliza kuiumba congo na kuiwekea rasilimali kedekede akasahau alipokuwa analala kwa kuwa alikua akienda usiku..ndio mana wanyarwanda hawana madini wala nini zaidi ya ardhi yenye rutuba!
 
Duh! Hii story nilishawahi kuisoma kwenye gazeti la mwanahalisi ingawa imebadilika kidogo. Lakini naona kama kuna chuki ndani yake, mtoa taarifa anasema Baba wa JK (wa kongo) alikuwa mnyarwanda na kwamba jina la Kanambe alijipachika mbona hajataja jina halisi la ukoo maana Christopher Adrien yote ya kigeni. Kama alipigana nae vita na anamfahamu iweje ashindwe kumjua ubini wake? Halafu nasikia huyo JK( wa kongo) alisoma pugu lakini kwenye story inaonyesha kama alisoma uganda vile! Aaah wakongomani ni miziki tu, mengine wawaachie wenyewe
 
Joseph kabila ni mtanzania halisi kasoma iyunga mbeya na nyumbani kwao kunduchi mtongani nenda mtaa wa congo au lumumba kaulize joseph kabila watakupa historia yake A to Z.
 
The hidden history.

Kutokana na taarifa ya mwandishi, msimulizi wa habari hii alikuwa akijaribu kuunganisha Dots. Kuna mambo mengi yamerukwa, Lakini huo ni mwonekano halisi wa timbwili linaloendelea kongo na maziwa makuu.
 
Uraia wa Joseph Kabila wazidisha kizaazaa Kongo


picture-10.jpg



Wakongomani walia na majeshi ya UN


kuna utata hapa ,
  • Joseph anatumwa akamshawishi LDK (baba mlezi akiwa na miaka 15tu.)
  • Vipi kuhusu kusoma IRAMBO sec school?
 
Jamani sasa kabila alisoma shule gani Tanzania?. Pugu. Iyunga, Irambo na wengine wanasema alisoma Sangu. llipi sahihi, tuelewe lipi? au hata hajawahi soma Tanzania
 
The dream of Hima Empire on the move. Kagame fighting westwards and Museven east wards. Hebu tuone hawa watusi watafika wapi
 
Hebu tuunganishe na hili hapa liliwahi kumuacha mdomo wazi rais wa Ufaransa kwenye Kikao cha wakuu wa nchi za Maziwa Makuu mjini Paris kabla haja Kabila baba hajauwawa. Je Kitisho cha Hima Empire ni kwa Congo tu?,

The moment Mugabe told Museveni: 'Your intelligence is exaggerated'


"That Bizumungu you see over there," Kabila spits the words with disdain "he is a Hutu and just a figure head. Real power lies with Paul Kagame, his vice president. So there is no reason for Bizimungu to even sit in this meeting with other heads of state when he is only a personal assistant to Kagame."
Museveni interjects saying the meeting should discuss more serious issues. But nobody is real listening; and as matter of fact he has too many contrary minds all over the place, does Museveni.
Mugabe is pissed at this talk of 'more serious issues' and says the threat of a Hima-Tutsi empire is a real and serious issue; in tones that suggest he is convinced it is even the only issue that should be discussed here today. "I have always heard that you are a very intelligent and popular man," Mugabe tells Museveni right into his face, "I now think your intelligence is quite exaggerated."

And with that, the old man walks out of the meeting in protest, wagging his finger at Museveni and vowing to "fight to the death" against the "creation of a Hima-Tutsi empire." Jameh of Gambia also interjects, telling Museveni that he thought the Ugandan president was a new hope for Africa, "not an ethnic chauvinist bent on re-creating obsolete pre-historic empires". In the cacophony of voices, one voice is quiet. Chirac is completely taken apart by surprise at this remarkable outplay by Africa's leading statesmen.

Here is the link http://www.newzimbabwe.com/pages/powell13.11729.html
 
Duh! Hii story nilishawahi kuisoma kwenye gazeti la mwanahalisi ingawa imebadilika kidogo. Lakini naona kama kuna chuki ndani yake, mtoa taarifa anasema Baba wa JK (wa kongo) alikuwa mnyarwanda na kwamba jina la Kanambe alijipachika mbona hajataja jina halisi la ukoo maana Christopher Adrien yote ya kigeni. Kama alipigana nae vita na anamfahamu iweje ashindwe kumjua ubini wake? Halafu nasikia huyo JK( wa kongo) alisoma pugu lakini kwenye story inaonyesha kama alisoma uganda vile! Aaah wakongomani ni miziki tu, mengine wawaachie wenyewe

Ni kweli Joseph kabila wa kabange alisoma tz lakini na uganda pia alipata kuishi...kumbuka maisha ya joseph na babake hayakuwa wazi sana kutokana na kuhofia mkono mrefu aliokuwa nao mobutu kuwafikia wapinzani wake popote walikojificha duniani ndio hapa bongo mzee kabila alikua akijitambulisha kama mzee mtwale,mfipa kutoka sumbawanga kumbe ni mcongoman.
 
kuna utata hapa ,
  • Joseph anatumwa akamshawishi LDK (baba mlezi akiwa na miaka 15tu.)
  • Vipi kuhusu kusoma IRAMBO sec school?
Mi ndio mana nasema maisha ya familia ya kabila hapa bongo hakuna mwenye anaweza kuyaelezea kwa ufasaha kutoka na wao kuishi hapa kwa tahadhari na usiri mkubwa wa mambo yao,ndio mana kila mtu hapa anataja shule tofauti aliyosoma joseph huyu mmoja,tumeona mtu anasema yeye anavyojua kasoma iyunga mby,wengine wanadai kusoma nae sangu sec mbeya,wengine kama hivi Irambo mbeya,Mwandishi anasema alisoma Uganda,pia kuna wengine wanadai walisoma nae yeye na pacha wake yule wa kike katika shule za jioni maarufu kama taasisi maeneo ya upanga.Ila kuna mwandishi wa habari anaitwa Masiaga Matinyi,huyu ndio anamjua sawasawa Joseph kwa kuwa toka hapa dar walikua marafiki na wameendelea kuwa marafiki mpaka kesho,na masiaga mara kadha amekua akisafiri kwenda kongo kwa gharama za Joseph,huyu anaweza kutusaidia kumjua joseph vizuri
 
Na Obama mbona hasemwi wakati ni mkenya?

Kwani hukuwahi kusikia issue ya utata wa birth certificate ya Obama ambayo ma republican wanadai imegushiwa kuonyehsa kazaliwa marekeni?nae anachimbwa tu mzee
 
Joseph kabila ni mtanzania halisi kasoma iyunga mbeya na nyumbani kwao kunduchi mtongani nenda mtaa wa congo au lumumba kaulize joseph kabila watakupa historia yake A to Z.

kwanini unasema tukaulize karikaoo wakati anadai nyumbani kwao ni kunduchi mtongani,kwanini tusianzie huko kuuliza kwanza?
 
Back
Top Bottom