Is really mifarakano wakati wazazi wawili wanapotengana huku ughaibuni hasa wazazi hao wakiwa wametokea katika background zinazotofautiana.mifarakano zaidi even inatokea pale wahusika wanaposhindwa kuelewana katika basic things in regsrds to those children.ama mzazi mmoja anapohakikisha anawatumia watoto kuuabuse upande mwingine.
Ni vizuri kutatua matatizo yenu nje ya court system kwa sababu once you go to court unaingiza uhasama ndani ya system nzima na waathirika wakuu ni watoto.
Kwa wale wenye uzoefu na kesi kama hizi tafadhali leteni michango yenu ili wasio na uzoefu waweze kusoma kutokana na uzoefu wenu.Kwa wasiojua kinachoongelewa hapa tafadhali tusiharibu mada kwa sababu ni very sensitive.
SAHIBA.
Ni vizuri kutatua matatizo yenu nje ya court system kwa sababu once you go to court unaingiza uhasama ndani ya system nzima na waathirika wakuu ni watoto.
Kwa wale wenye uzoefu na kesi kama hizi tafadhali leteni michango yenu ili wasio na uzoefu waweze kusoma kutokana na uzoefu wenu.Kwa wasiojua kinachoongelewa hapa tafadhali tusiharibu mada kwa sababu ni very sensitive.
SAHIBA.