George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ndugu wana Jamii wenzangu,
Imekuwa kawaida sasa kwa kiti cha Speaker kufanya hila na mbinu zote chafu kuilinda serikali kwa Hali na Mali na kiti cha speaker kuwanyima wabunge haki Yao ya kikatiba ya kusimamia na kuishauri serikali hivyo basi tumekuwa tukishuhudia Bunge likifanya kazi Kama ni sehemu ya serikali na si independent body.
Wana Jamii sote tunafahamu kuwa Executive, Legislature and Judiciary are very independent body and acts according to their principle and rules, lakini Bunge letu limekuwa likisubili kupata maelekezo ya serikali hivyo serikali kuingilia muhimili mwingine.
Hivyo basi ma speaker wetu wameendelea kulipotosha Bunge na kuvunja katiba ya nchi kwa kulifanya Bunge lifanye kazi zake Kama dalali wa serikali na kuacha majukumu yake ya kikatiba ya kusimamia na kuishauri serikali .
Tuna ushahidi wa kutosha wa ma-speaker wetu kuzima hoja nyingi nzito zenye maslahi kwa taifa kwa lengo kubwa la kuilinda serikali . Swala hili halikubaliki na nadhamilia kuwafungulia kesi ya kikatiba ma-speaker wote kwa kuvunja katiba ya nchi na kutotutendea haki sisi wananchi wa Jamhuri kwa kuzima mijadala muhimu na kuilinda serikali na kuwanyima wabunge wetu haki Yao ya kikatiba ya kuihoji na kuisimamia serikali .
Naomba ushauri na msaada wa kisheria ili kufanikisha kufungua kesi mahakama Kuu kuwashitaki maspika wetu.
Nashukuru sana.
Imekuwa kawaida sasa kwa kiti cha Speaker kufanya hila na mbinu zote chafu kuilinda serikali kwa Hali na Mali na kiti cha speaker kuwanyima wabunge haki Yao ya kikatiba ya kusimamia na kuishauri serikali hivyo basi tumekuwa tukishuhudia Bunge likifanya kazi Kama ni sehemu ya serikali na si independent body.
Wana Jamii sote tunafahamu kuwa Executive, Legislature and Judiciary are very independent body and acts according to their principle and rules, lakini Bunge letu limekuwa likisubili kupata maelekezo ya serikali hivyo serikali kuingilia muhimili mwingine.
Hivyo basi ma speaker wetu wameendelea kulipotosha Bunge na kuvunja katiba ya nchi kwa kulifanya Bunge lifanye kazi zake Kama dalali wa serikali na kuacha majukumu yake ya kikatiba ya kusimamia na kuishauri serikali .
Tuna ushahidi wa kutosha wa ma-speaker wetu kuzima hoja nyingi nzito zenye maslahi kwa taifa kwa lengo kubwa la kuilinda serikali . Swala hili halikubaliki na nadhamilia kuwafungulia kesi ya kikatiba ma-speaker wote kwa kuvunja katiba ya nchi na kutotutendea haki sisi wananchi wa Jamhuri kwa kuzima mijadala muhimu na kuilinda serikali na kuwanyima wabunge wetu haki Yao ya kikatiba ya kuihoji na kuisimamia serikali .
Naomba ushauri na msaada wa kisheria ili kufanikisha kufungua kesi mahakama Kuu kuwashitaki maspika wetu.
Nashukuru sana.