When you lose there is no congratulations, nimekubali Benchika

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
438
1,752
Huyu ni kocha wa ukweli, alikataa pongezi leo wakati anaulizwa swali na mwandishi wa habari, akamwambia no when you lose there is no congratulations, naamini angekuwa Gamondi angesema Thank you.

Benchika, kama utapewa ushirikiano na wanasimba wote wakiwemo wale wanaopinga uongozi wa Mangungu ambao wamekataa kusalimu amri na wanaendelea kutia pingu miguu ya wachezaji am sure Simba inakwenda kucheza ligi ya klabu bingwa duniani.We endelea kutukana tu
 
Kila mmoja ana aina yake ya kupokea anachoambiwa! Umewahi sikia Gamondi kaaambuwa hongera akiwa amefungwa?
 
Huyu ni kocha wa ukweli, alikataa pongezi leo wakati anaulizwa swali na mwandishi wa habari, akamwambia no when you lose there is no congratulations, naamini angekuwa Gamondi angesema Thank you.

Benchika, kama utapewa ushirikiano na wanasimba wote wakiwemo wale wanaopinga uongozi wa Mangungu ambao wamekataa kusalimu amri na wanaendelea kutia pingu miguu ya wachezaji am sure Simba inakwenda kucheza ligi ya klabu bingwa duniani.We endelea kutukana tu
Ni mjinga gani aliyetoa hongera kwa kocha aliyefungwa?
 
Back
Top Bottom