1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Huyu ni kocha wa ukweli, alikataa pongezi leo wakati anaulizwa swali na mwandishi wa habari, akamwambia no when you lose there is no congratulations, naamini angekuwa Gamondi angesema Thank you.
Benchika, kama utapewa ushirikiano na wanasimba wote wakiwemo wale wanaopinga uongozi wa Mangungu ambao wamekataa kusalimu amri na wanaendelea kutia pingu miguu ya wachezaji am sure Simba inakwenda kucheza ligi ya klabu bingwa duniani.We endelea kutukana tu
Benchika, kama utapewa ushirikiano na wanasimba wote wakiwemo wale wanaopinga uongozi wa Mangungu ambao wamekataa kusalimu amri na wanaendelea kutia pingu miguu ya wachezaji am sure Simba inakwenda kucheza ligi ya klabu bingwa duniani.We endelea kutukana tu