No.1 Nisaidie kung'amua maswali haya.Tulisema wazungu (viongozi) wanatunyonya, tukapigania uhuru tukawa huru. Leo viongozi weusi wanatunyonya tufanye nini?
No.2 Lengo la uhuru pia ilikuwa ni kwamba tuwe na MADARAKA. Tutumie madaraka na RASILIMALI tuliyo nayo kujiletea MAENDELEO.Je lengo letu limetimia?
No.3 WACHINA walitujengea reli ya TAZARA 1970s leo tunawaomba waje watukarabatie. WAJERUMANI walitujengea reli ya kati leo tunawaomba waje watukarabatie.Hii inaashiria nini?
No.4 Tulianzisha viwanda vyetu vya nguo, TTCL, NASACO na kadhalika zikashindwa kuwaudumia wananchi ikabidi Rais mwinyi aanzishe sera ya ruksa.Walipokuja weupe kutoa huduma biashara zao zinapanuka kwa kasi. Kumbe basi wanunuzi walikwepo na pesa zao mkononi lakini hakuna mtoa huduma (serikali).alikadhalika wasafiri wa kwenda kigoma, mwanza, mbeya,zambia tena nauli ni cash sio deni wapo ila hakuna train. Wapiga simu, watumiaji wa umeme wenyewe pia ni cash siyo deni.Ndege pia watu hawapandi kwa deni lakini zote hizi zimeshindwa kujiendesha kwa faida.Nazo je zina maana gani?
No.5 It looks like a total failure. Je hii failure ni ya nani viongozi au wananchi?
No.6 Viongozi wetu nadhani wengi tu wamesoma abroad. Darasani au wakienda kuaomba misaada abroad wanafikiri watu weupe wanawachukuliaje?
No.7 kwa nini viongozi wetu/ waafrika wanadhani ni sahihi kwao kusaidiwa na wasiposaidiwa wanadhani hawatendewi haki? ukiwa abroad utawaonea huruma viongozi wetu. China kwa mfano leo ukimwona rais wa Tanzania, kesho ni wa Kenya keshokutwa wa Zambia mtondo wa Angola, Msumbiji yaani ni msururu kabla ya wa Sudan ambaye nafikiri pale ni kama nyumbani. kila mmoja na shida yake.
No.8 Na Je abroad tunaishi kwa heshima na hadhi au kwa sababu tu ya kipato.
No.9 wachina wamesema wanahitaji miaka 100 kuanzia sasa ili wawe superpower na ikiwezekana waipuku marekani. Je Africa na Tanzania in particular tunahitaji miaka mingapi ili tujitosheleze kwa chakula? bidhaa za viwandani? then tecknology?
Jamiiforums inaanza kunifanya niifikirie Tanzania yetu na uweusi wangu, naipenda sana
No.2 Lengo la uhuru pia ilikuwa ni kwamba tuwe na MADARAKA. Tutumie madaraka na RASILIMALI tuliyo nayo kujiletea MAENDELEO.Je lengo letu limetimia?
No.3 WACHINA walitujengea reli ya TAZARA 1970s leo tunawaomba waje watukarabatie. WAJERUMANI walitujengea reli ya kati leo tunawaomba waje watukarabatie.Hii inaashiria nini?
No.4 Tulianzisha viwanda vyetu vya nguo, TTCL, NASACO na kadhalika zikashindwa kuwaudumia wananchi ikabidi Rais mwinyi aanzishe sera ya ruksa.Walipokuja weupe kutoa huduma biashara zao zinapanuka kwa kasi. Kumbe basi wanunuzi walikwepo na pesa zao mkononi lakini hakuna mtoa huduma (serikali).alikadhalika wasafiri wa kwenda kigoma, mwanza, mbeya,zambia tena nauli ni cash sio deni wapo ila hakuna train. Wapiga simu, watumiaji wa umeme wenyewe pia ni cash siyo deni.Ndege pia watu hawapandi kwa deni lakini zote hizi zimeshindwa kujiendesha kwa faida.Nazo je zina maana gani?
No.5 It looks like a total failure. Je hii failure ni ya nani viongozi au wananchi?
No.6 Viongozi wetu nadhani wengi tu wamesoma abroad. Darasani au wakienda kuaomba misaada abroad wanafikiri watu weupe wanawachukuliaje?
No.7 kwa nini viongozi wetu/ waafrika wanadhani ni sahihi kwao kusaidiwa na wasiposaidiwa wanadhani hawatendewi haki? ukiwa abroad utawaonea huruma viongozi wetu. China kwa mfano leo ukimwona rais wa Tanzania, kesho ni wa Kenya keshokutwa wa Zambia mtondo wa Angola, Msumbiji yaani ni msururu kabla ya wa Sudan ambaye nafikiri pale ni kama nyumbani. kila mmoja na shida yake.
No.8 Na Je abroad tunaishi kwa heshima na hadhi au kwa sababu tu ya kipato.
No.9 wachina wamesema wanahitaji miaka 100 kuanzia sasa ili wawe superpower na ikiwezekana waipuku marekani. Je Africa na Tanzania in particular tunahitaji miaka mingapi ili tujitosheleze kwa chakula? bidhaa za viwandani? then tecknology?
Jamiiforums inaanza kunifanya niifikirie Tanzania yetu na uweusi wangu, naipenda sana