Wakuu embu nisaidie kwa hili,What is the safe time to have sex after delivery of a baby?When is it safe to start having sex again?.....nisaidieni tudumishe uzazi wa mpango...
After 40 days
After 40 days
Hi, Nguli!
Mara nyingi Madaktari wanapendekeza ni baada ya 3months, ili kutosababisha some infection kwa mama, kwani unajua sehemu nyingi huko ndani kuna kuwa bado hakujarudi katika ile hali ya Unormal. kwa hiyo after 3months ndio kipindi kizuri tu cha kuenjoy!
Alinda
MM mke wangu huwa anazaa kwa kisu,na anavopenda kutiwa ,wiki tu tunaendeleza!na yuko comfortable,inategemea mtu na mtu!
90 days ....as minimum, kwa afya zaidi 120days.
I doubt! Kwa mujibu wa mafunzo ya nesi katika kliniki za wajawazito, kama mama akijifungua kawaida, pamoja na mishono ya kuongeza njia nk, bado siku 30 zinatosha kurudi ktk hali ya kawaida. Nadhani siku 40 ni kwa mujibu wa dini ya kiislamu na mila nyinginezo. Sema mama anakuwa bado na maumivu na mateso ya 'akili' kutokana na shughuli nzito anayokuwa ameipitia katika shughuli yenyewe ya kujifungua, na pia hali ya kuhamishia upendo kati ya mume na mtoto. Miezi 3 jamani....si chanzo cha Nyumba ndogo?[/QUOTE]
yaani mwanamume hawezi kungojea miezi mitatu TU! duh!!!!!!! huyo hata wiki moja atatafuta nyumbe ndogo wala si lazima mama awe amejifungua.
MM mke wangu huwa anazaa kwa kisu,na anavopenda kutiwa ,wiki tu tunaendeleza!na yuko comfortable,inategemea mtu na mtu!