What is so special in Tz mpaka USA aingilie na yamefanyika zaid Rwanda, Zimbabwe, Burundi, Uganda

Tatizo kubwa la wapinzani wa Tanzania hawajui hata ni njia gani sahihi ya kuwafanya watimize lengo lao la kushika dola,

Wakati wakiwa wameelekea kufanikiwa inatokea kitu kidogo tu kuwatoa kwenye mstari na msimamo wao kuelekea kutimiza azma yao,

Leo hii kauli na maneno ni juu ya tweet ya ubalozi wa USA kwamba "sasa Trump ataingilia anaona yanayotendeka Tanzania"

Kwanza nawaambia acheni kujidanganya USA hana maslahi yeyote na Tanzania, na ijulikane marekani uingilia Tawala za sehem kama ana interest sana na eneo lile
Mfano Libya, Afghanistan, Kuwait, Syria, Na sasa nasikia anainyemelea Qatar

Hivi ni nini cha muhim mpaka marekani awaonee huruma watanzania kiasi hicho hahaha aisee,

Ni lipi kubwa Tanzania imekiuka sana ukilinganisha na matukio haya ya majirani zetu na Marekani hajaingilia

1.Kongo katika uchaguzi uliopita watu waliompinga bwana Kabila walifungwa magerezani kabisa bila dhamana mpaka uchaguzi ukapita ndo wakaachiwa wakati wasimamizi na wanaohesabu kura wengine wakiwa wanajeshi na wengine wa sare za chama cha kabila??


2. Kwa Morgan Tvangirah Mwaka 2008 uchaguzi ambao ulimpa Mugabe ushindi wa dhurma na ngome zote za Tvangirah hakukupelekwa masanduku ya kupiga kura, watu waliamka asubuhi pengine wanakuta hakuna majina yao ya kupiga kura wakati waliyaona na kuyahakiki usiku, mbali zaid kura zilizokuwa zinampigia mpinzani zinahesabiwa batili

3. Kenya mwaka 2007 wameishia kwenda kupoteza hela ya wakenya Mahakama ya kimataifa uholanzi,

4. Rwanda, kagame kafunga mpinzani wake, kamfungulia kesi za uhaini na usaliti,

Mbaya zaid siku ya kupiga kura askari anachungulia kuona amepigiwa nani, takriban watu 30 waliuwawa kimya kimya

5. Burundi.Mpaka sasa kuna sintofahamu, wapinzani zaid ya 26 wako ndani na watu wasiopungua 100 wameshafariki kisa mzozo huo,

6. Uganda mpaka napoongea katika uchaguzi mdogo, dereva wa mbunge Bobi wine (chagulanyi sentamu) amepigwa risasi Jana na askari na kuuwawa na mbunge yuko mahabusu kisa kumpigia kampeni anagombea against chama cha Mseven,

Tusidanganyane kabisaa Tweet za balozi sijui wa Norway, Mara USA hazitasaidia kitu ,tumia njia nyingine kupata haki zenu, msiwe kama Maalim Seif ambaye anaamini urais atapewa next week na Umoja wa Mataifa

Ndo Yale Yale ya Dada mmoja wa instagram aliwashika masikio mpaka kina Lema na msigwa wakasahau operation zao,

CHADEMA imejikita kwenye siasa za Facebook, whatsapp ,JF insta, wakati wanasahau kuna kundi kubwa wanalitenga, alafu mbaya zaid wanafanya siasa hizo bila kutumia majina yao kamili, hii inapotosha na itawakatisha tamaa wataka mabadiriko ya kweli,

Achana na tweet za USA angalia uhalisia wa siasa zenyewe, USA wataishia kulaani tu wakati watanzania wakiendelea kuumia,

Wapo wana CHADEMA wazuri wanaojenga hoja na wanaoongea ukashawishika kwa hoja zao mfano tindo huyu niwe mkweli kuna kipawa fulani cha siasa anacho ,CHADEMA peleleza mkamjue ni nani mpeni sekta ya ushauri,

yani leo umeni brash akili.siasa za tz ni kama maisha ya uswahili na vijitabia vyetu.hata ukiangalia maisha ya mtanzania ni kukunjiana nilishangaa hata huku nje wabongo kazi yao ni kukunjiana tu hata kama ni jema
 
[/QUOTE]
Mkuu Tindo ni kweli hakuwahi kukubaliana na ujio wa Lowassa Chadema.

Ni kweli isiyo na shaka Lowassa ni msaka tonge kama Magamba wenzake. Lile lilikuwa kosa la karne.

Tijisahihishe.
 
Tindo ni Chadema ila ambaye alilaani ujio wa Lowassa Chadema
Chadema wote waliolaani ujio wa Lowassa, mimi niliwaita ni makenge, kwenye msafara wa mamba.


P.
 
Chadema wote waliolaani ujio wa Lowassa, mimi niliwaita ni makenge, kwenye msafara wa mamba.


P.
Mkuu mbona nakumbukaa nawe ulitaka kuchukua jimbo endapo lowassa angeenda CDM na ukasema yeyote atakayesimamishwa na COM utamwangusha kama unasukuma Mlevi?
 
Mkuu mbona nakumbukaa nawe ulitaka kuchukua jimbo endapo lowassa angeenda CDM na ukasema yeyote atakayesimamishwa na COM utamwangusha kama unasukuma Mlevi?
Nikweli nilipanga na mimi niingie siasa kwa kujiunga Chedema na kugombea jimbo fulani la CCM, mbunge wa jimbo hili, ningemshinda kirahisi kama kumsukuma mlevi, lakini nilighairi kwa kuhofia kujenga uadui na watu fulani.

P
 
Wewe mtu ni mtata sana.
No sio mtata bali makini sana, natamani sana kuingia mjengoni nikamwage nondo, tatizo sina chama na sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote, hivyo kwa uchaguzi wa 2015, niliiwazia Chedema, nikaghairi, lakini kwa 2020, hakuna kuwaza tena, chama ni kimoja tuu.
P
 
Tatizo kubwa la wapinzani wa Tanzania hawajui hata ni njia gani sahihi ya kuwafanya watimize lengo lao la kushika dola,

Wakati wakiwa wameelekea kufanikiwa inatokea kitu kidogo tu kuwatoa kwenye mstari na msimamo wao kuelekea kutimiza azma yao,

Leo hii kauli na maneno ni juu ya tweet ya ubalozi wa USA kwamba "sasa Trump ataingilia anaona yanayotendeka Tanzania"

Kwanza nawaambia acheni kujidanganya USA hana maslahi yeyote na Tanzania, na ijulikane marekani uingilia Tawala za sehem kama ana interest sana na eneo lile
Mfano Libya, Afghanistan, Kuwait, Syria, Na sasa nasikia anainyemelea Qatar

Hivi ni nini cha muhim mpaka marekani awaonee huruma watanzania kiasi hicho hahaha aisee,

Ni lipi kubwa Tanzania imekiuka sana ukilinganisha na matukio haya ya majirani zetu na Marekani hajaingilia

1.Kongo katika uchaguzi uliopita watu waliompinga bwana Kabila walifungwa magerezani kabisa bila dhamana mpaka uchaguzi ukapita ndo wakaachiwa wakati wasimamizi na wanaohesabu kura wengine wakiwa wanajeshi na wengine wa sare za chama cha kabila??


2. Kwa Morgan Tvangirah Mwaka 2008 uchaguzi ambao ulimpa Mugabe ushindi wa dhurma na ngome zote za Tvangirah hakukupelekwa masanduku ya kupiga kura, watu waliamka asubuhi pengine wanakuta hakuna majina yao ya kupiga kura wakati waliyaona na kuyahakiki usiku, mbali zaid kura zilizokuwa zinampigia mpinzani zinahesabiwa batili

3. Kenya mwaka 2007 wameishia kwenda kupoteza hela ya wakenya Mahakama ya kimataifa uholanzi,

4. Rwanda, kagame kafunga mpinzani wake, kamfungulia kesi za uhaini na usaliti,

Mbaya zaid siku ya kupiga kura askari anachungulia kuona amepigiwa nani, takriban watu 30 waliuwawa kimya kimya

5. Burundi.Mpaka sasa kuna sintofahamu, wapinzani zaid ya 26 wako ndani na watu wasiopungua 100 wameshafariki kisa mzozo huo,

6. Uganda mpaka napoongea katika uchaguzi mdogo, dereva wa mbunge Bobi wine (chagulanyi sentamu) amepigwa risasi Jana na askari na kuuwawa na mbunge yuko mahabusu kisa kumpigia kampeni anagombea against chama cha Mseven,

Tusidanganyane kabisaa Tweet za balozi sijui wa Norway, Mara USA hazitasaidia kitu ,tumia njia nyingine kupata haki zenu, msiwe kama Maalim Seif ambaye anaamini urais atapewa next week na Umoja wa Mataifa

Ndo Yale Yale ya Dada mmoja wa instagram aliwashika masikio mpaka kina Lema na msigwa wakasahau operation zao,

CHADEMA imejikita kwenye siasa za Facebook, whatsapp ,JF insta, wakati wanasahau kuna kundi kubwa wanalitenga, alafu mbaya zaid wanafanya siasa hizo bila kutumia majina yao kamili, hii inapotosha na itawakatisha tamaa wataka mabadiriko ya kweli,

Achana na tweet za USA angalia uhalisia wa siasa zenyewe, USA wataishia kulaani tu wakati watanzania wakiendelea kuumia,

Wapo wana CHADEMA wazuri wanaojenga hoja na wanaoongea ukashawishika kwa hoja zao mfano tindo huyu niwe mkweli kuna kipawa fulani cha siasa anacho ,CHADEMA peleleza mkamjue ni nani mpeni sekta ya ushauri,
Unaongea kama unamsifu anaechimba shimo ukiamini ni chdm tu ndio watatumbukia! Ndiyo dhana ya wachinjaji wa democracy. Lakini siku ikifika shimo litameza wote.
 
kwahiyo mwehu, anavyovuruga uchumi ,biashara ,mahusiano ya kimataifa ,uwekezaji ,maisha ya watanzania , kuvunjia watu nyumba ,kufukuza kazi watu hivyo ,kukiuka sheria ,katiba ,kupora matilioni ,kuteka na kuua wanaoathirika ni wapinzani tu eti Lumumba?
 
"Haki haitolewi kama zawadi. Haki hudaiwa... kwa nguvu, ikibidi." - Marehemu Prof Kighoma Malima

It's been four solid yrs now, lakini watu bado wanalalamika.

Is this the first time?
Would it be the last?

Kulalamika hakujawahi kuwa solution ya tatizo lolote lile. Time to act is now or never.
 
Tatizo kubwa la wapinzani wa Tanzania hawajui hata ni njia gani sahihi ya kuwafanya watimize lengo lao la kushika dola,

Wakati wakiwa wameelekea kufanikiwa inatokea kitu kidogo tu kuwatoa kwenye mstari na msimamo wao kuelekea kutimiza azma yao,

Leo hii kauli na maneno ni juu ya tweet ya ubalozi wa USA kwamba "sasa Trump ataingilia anaona yanayotendeka Tanzania"

Kwanza nawaambia acheni kujidanganya USA hana maslahi yeyote na Tanzania, na ijulikane marekani uingilia Tawala za sehem kama ana interest sana na eneo lile
Mfano Libya, Afghanistan, Kuwait, Syria, Na sasa nasikia anainyemelea Qatar

Hivi ni nini cha muhim mpaka marekani awaonee huruma watanzania kiasi hicho hahaha aisee,

Ni lipi kubwa Tanzania imekiuka sana ukilinganisha na matukio haya ya majirani zetu na Marekani hajaingilia

1.Kongo katika uchaguzi uliopita watu waliompinga bwana Kabila walifungwa magerezani kabisa bila dhamana mpaka uchaguzi ukapita ndo wakaachiwa wakati wasimamizi na wanaohesabu kura wengine wakiwa wanajeshi na wengine wa sare za chama cha kabila??


2. Kwa Morgan Tvangirah Mwaka 2008 uchaguzi ambao ulimpa Mugabe ushindi wa dhurma na ngome zote za Tvangirah hakukupelekwa masanduku ya kupiga kura, watu waliamka asubuhi pengine wanakuta hakuna majina yao ya kupiga kura wakati waliyaona na kuyahakiki usiku, mbali zaid kura zilizokuwa zinampigia mpinzani zinahesabiwa batili

3. Kenya mwaka 2007 wameishia kwenda kupoteza hela ya wakenya Mahakama ya kimataifa uholanzi,

4. Rwanda, kagame kafunga mpinzani wake, kamfungulia kesi za uhaini na usaliti,

Mbaya zaid siku ya kupiga kura askari anachungulia kuona amepigiwa nani, takriban watu 30 waliuwawa kimya kimya

5. Burundi.Mpaka sasa kuna sintofahamu, wapinzani zaid ya 26 wako ndani na watu wasiopungua 100 wameshafariki kisa mzozo huo,

6. Uganda mpaka napoongea katika uchaguzi mdogo, dereva wa mbunge Bobi wine (chagulanyi sentamu) amepigwa risasi Jana na askari na kuuwawa na mbunge yuko mahabusu kisa kumpigia kampeni anagombea against chama cha Mseven,

Tusidanganyane kabisaa Tweet za balozi sijui wa Norway, Mara USA hazitasaidia kitu ,tumia njia nyingine kupata haki zenu, msiwe kama Maalim Seif ambaye anaamini urais atapewa next week na Umoja wa Mataifa

Ndo Yale Yale ya Dada mmoja wa instagram aliwashika masikio mpaka kina Lema na msigwa wakasahau operation zao,

CHADEMA imejikita kwenye siasa za Facebook, whatsapp ,JF insta, wakati wanasahau kuna kundi kubwa wanalitenga, alafu mbaya zaid wanafanya siasa hizo bila kutumia majina yao kamili, hii inapotosha na itawakatisha tamaa wataka mabadiriko ya kweli,

Achana na tweet za USA angalia uhalisia wa siasa zenyewe, USA wataishia kulaani tu wakati watanzania wakiendelea kuumia,

Wapo wana CHADEMA wazuri wanaojenga hoja na wanaoongea ukashawishika kwa hoja zao mfano tindo huyu niwe mkweli kuna kipawa fulani cha siasa anacho ,CHADEMA peleleza mkamjue ni nani mpeni sekta ya ushauri,


Swali la msingi ni tumefikaje huko mpaka serikali na chama kinashindwa kuongea na wapinzani ? Hilo ndiyo swali la kujiuliza je kuna kikao chochote? Usiwe mnalalamika tu mbona Kikwete aliweza
 
Back
Top Bottom