What does it take to be a Motivational Speaker?

McCollum

JF-Expert Member
Jan 10, 2023
384
679
Je, kama ninahitaji kuwa Motivational Speaker, ninahitaji kufanya nini? Hapa naulizia kama kuna kozi special au vitu vya kufanya.

==============

Salamu kwa watu wazima wote (kiumri), kwa wengine habari za saizi, kwa mashabiki wa Manchester United mjikande kwa maji ya Moto 7 sing'ori si mchezo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, katika mchakato wa kusaka ajira, nimeona ni bora niichangamkie hii Jamii iliyonizunguka na hapo nikapata wazo la kuwa Motivational Speaker.

Sikukurupuka kama baadhi ya watu wanaosoma thread hii watakavyowaza au kuchangia, baada ya kutafakari niliona nina vitu muhimu ambavyo nikivisogeza kwenye Jamii tunaweza kuinuka. Kwasasa Tanzania na nchi nyingi zilizopo katika Ulimwengu wa Tatu (Yaani Maskini wa ku-tupwa 😂) watu wake wanakosa Elimu ambayo ni basic na ndio inayotakiwa kuwafikia raia hao ili kushtua bongo zao ili waache kumbwela kitaa.

Kijana barobaro anajiunga bundle la Wiki na kuingia TikTok akiwa anapepesa kope mbele ya kamera na kurusha makalio akisubiri comment kama hizi.

"Cute Dance" by LiliPopy

" 🥰" by Optyga_official na takataka nyingine nyingi. Sasa kwa ichi kizazi nimeona nikiingia kwenye kuwa-motivate nitatoboa, ninaomba nipate mbinu za kuifanya hii kazi.

NB: Kabla ya kutoa reply, fikiri mara mbili kuhusu hii post, ikiwezekana iangalie kwenye 'angle' ambayo itakusaidia kujua dhamira halisi ya mwandishi wake.

Sent Using Tecno H5
 
Huitaji kusomea kozi yoyote mkuu. Ngoja maisha au mapenzi yakubabue babue, baada ya muda automatically utakuwa philosopher au motivational speaker
Kuhusu kubabuliwa na mapenzi hapo "experience" n'nayo, naulizia kuifanya hii 'kazi' in a professional and modern way.

Kuna njia yoyote yakutafuta kuwa presentable kwa watu ili uwatie kwakk au ni ukanjanja tu?
 
Kuhusu kubabuliwa na mapenzi hapo "experience" n'nayo, naulizia kuifanya hii 'kazi' in a professional and modern way.

Kuna njia yoyote yakutafuta kuwa presentable kwa watu ili uwatie kwakk au ni ukanjanja tu?
Kibongo bongo ukishaonekana kwenye TV mara mbili tatu, basi u can do anything. Maana utapata support.

Sema kwako, tumia njia tofauti. Fungua accounts IG, TikTok na FB, follow watu kibao unaowafaham na usio wafanam. Anza kupost motivational words. Usipost maisha yako binafsi hata kidogo. Ikiwezekana hata sura yako usipost, maana wabongo tunakawaida ya kuwasuppott tusiowajua, wakishakujua watakusagia kunguni.

Posts zako unaweza kuwatag motivational speakers ambao ni reputable,hii itakuongezea viewers. Off you go.
 
Motivational speakers wa mbele, wengi wanaelezea story zao Ila kwa bongo wengi wanasoma vitabu na historia za watu wakubwa wakubwa ili kutuinspaya

Sasa wewe chagua utachoweza
 
Motivational speakers wa mbele, wengi wanaelezea story zao Ila kwa bongo wengi wanasoma vitabu na historia za watu wakubwa wakubwa ili kutuinspaya

Sasa wewe chagua utachoweza
B ndio chaguo salama
 
Kibongo bongo ukishaonekana kwenye TV mara mbili tatu, basi u can do anything. Maana utapata support.

Sema kwako, tumia njia tofauti. Fungua accounts IG, TikTok na FB, follow watu kibao unaowafaham na usio wafanam. Anza kupost motivational words....
Ngoja nilifanyie kazi ili wazo mapema.
 
Ujue kuongea.

Ukijue unachokiongelea.

Uamini unachokiongelea kitaleta mabadiliko kwa walengwa.

Ujue wa kuwapelekea ujumbe.
 
Kuwa motivational speaker kwa upande wangu au kwa ufahamu wangu, huwa inatokea tu. Kwanza UJIKUBALI NA KUJIAMINI.

Chagua nini unataka kupeleka kwenye jamii ili ikusikie.

Chapisha ongea kuhusu utendaji wako wewe mwenyewe wa kila siku.
UFUGAJI
MAPENZI
KILIMO
BIASHARA
KUTIA MOYO

Ni baadhi ya nyanja unazotakiwa kujiweka kufikisha kwa watu.
Mfano.
Bwana mmoja mwaka 2012 alifungua page ya instagram ikahusu ufugaji nguruwe. Na akaita jina ufugaji nguruwe kibiashara. In very simple words.

Akachukua nguruwe wawili mara kwa mara anawaposti akiwalisha, akiwatibia, akisafisha mabanda, mpaka wanazaa. Yeye anaandika kila anachofanya anakileta machoni pa watu, anaingia jamii forum anapost. Watu wakamuelewa, akafanya biashara hiyo, still motivate watu, watu wananunua kwake mifugo, wanafundishwa nae. Huyu ni motivational speaker.
Hivyo ilivyo kwenye nyanja zingine. Ishi hayo maisha jua kuyazungumzia with a real feeling. There you are a motivational speaker.
 
Je, kama ninahitaji kuwa Motivational Speaker, ninahitaji kufanya nini? Hapa naulizia kama kuna kozi special au vitu vya kufanya.

==============

Salamu kwa watu wazima wote (kiumri), kwa wengine habari za saizi, kwa mashabiki wa Manchester United mjikande kwa maji ya Moto 7 sing'ori si mchezo.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada, katika mchakato wa kusaka ajira, nimeona ni bora niichangamkie hii Jamii iliyonizunguka na hapo nikapata wazo la kuwa Motivational Speaker.

Sikukurupuka kama baadhi ya watu wanaosoma thread hii watakavyowaza au kuchangia, baada ya kutafakari niliona nina vitu muhimu ambavyo nikivisogeza kwenye Jamii tunaweza kuinuka. Kwasasa Tanzania na nchi nyingi zilizopo katika Ulimwengu wa Tatu (Yaani Maskini wa ku-tupwa ) watu wake wanakosa Elimu ambayo ni basic na ndio inayotakiwa kuwafikia raia hao ili kushtua bongo zao ili waache kumbwela kitaa.

Kijana barobaro anajiunga bundle la Wiki na kuingia TikTok akiwa anapepesa kope mbele ya kamera na kurusha makalio akisubiri comment kama hizi.

"Cute Dance" by LiliPopy

" " by Optyga_official na takataka nyingine nyingi. Sasa kwa ichi kizazi nimeona nikiingia kwenye kuwa-motivate nitatoboa, ninaomba nipate mbinu za kuifanya hii kazi.

NB: Kabla ya kutoa reply, fikiri mara mbili kuhusu hii post, ikiwezekana iangalie kwenye 'angle' ambayo itakusaidia kujua dhamira halisi ya mwandishi wake.

Sent Using Tecno H5
Mkuu hongera kwa Uzi huu,

Kitu cha kwanza ni NIA yako iendelee kukuongoza kufika mafanikio uyatakayo,

Kwa chochote ulichonacho na unaweza kukifundisha kwa mwingine unaweza ukaanza nacho.

Maarifa ya awali au basic ,ndio jambo hasa watu tunayakosa ili kufanikisha kufika tutakapo.

Tumia vema UGA wa mitandao ya kijamii ukianza na jukwaa letu pendwa la Jamii forums.


Uhitaji mambo meng zaidi ya kuandika au kuandaa maudhui yatakayomgusa mdau moja kwa moja.

Ili kuhamasisha wengine,Anza kwako kwa kuamini kile ulichoona ni changamoto kwa jamii kama ikifanya moja au mbili inaweza jikwamua toka hatua moja had nyingine.

Muda ni Sasa
 
Mkuu hongera kwa Uzi huu,

Kitu cha kwanza ni NIA yako iendelee kukuongoza kufika mafanikio uyatakayo,

Kwa chochote ulichonacho na unaweza kukifundisha kwa mwingine unaweza ukaanza nacho.

Maarifa ya awali au basic ,ndio jambo hasa watu tunayakosa ili kufanikisha kufika tutakapo.

Tumia vema UGA wa mitandao ya kijamii ukianza na jukwaa letu pendwa la Jamii forums.


Uhitaji mambo meng zaidi ya kuandika au kuandaa maudhui yatakayomgusa mdau moja kwa moja.

Ili kuhamasisha wengine,Anza kwako kwa kuamini kile ulichoona ni changamoto kwa jamii kama ikifanya moja au mbili inaweza jikwamua toka hatua moja had nyingine.

Muda ni Sasa
Thanks for the reply.
 
Kitu kikubwa ni kuwa muongo muongo na ujiamini kwenye uongo huo
I understand your sentence in a certain perspective and idk if it 's okay to write it here.
😂😂😂😂 you are funny
 
Back
Top Bottom