Nime tambua mistake na nimesharekebisha natumai nitapata msaada wako kimawazo. thanxKwanza kabisa usipende kutumia lugha za watu kama huzijui vizuri. Nakuomba siku nyingine ingia jukwaa la lugha upate msaada wa unachotaka kuandika kwa lugha ya watu, utapata kujifunza, hakuna aliyezaliwa anajua kila kitu. Unajidharaulisha unapoandika vibaya ama lugha yako ama ya watu, hata mada yako inakuwa haina maana tena.
ni miezi 5 sasa toka tulipoachana na mwenzangu but still she is in my head i dont want this, hali hii inanitesa sana
nifanyeje ili nimsahau !!
<br />Kwanza kabisa usipende kutumia lugha za watu kama huzijui vizuri. Nakuomba siku nyingine ingia jukwaa la lugha upate msaada wa unachotaka kuandika kwa lugha ya watu, utapata kujifunza, hakuna aliyezaliwa anajua kila kitu. Unajidharaulisha unapoandika vibaya ama lugha yako ama ya watu, hata mada yako inakuwa haina maana tena.
ka alikua anavunja nae amri ya 6 af akampata mwingine wakaendelea kuivunja hyo amri si akiwa anafanya anamkumbuka yule ati.................huhJitahidi kuepuka mazingira au kufanya vitu vinavyokufanya umkumbuke.
Nime tambua mistake na nimesharekebisha natumai nitapata msaada wako kimawazo. thanx
Hivi futari siku hizi zinalewesha? inawezekana vipi ukapeleka mahali kwa msichana ambae mmeachana?Kwanza nakupongeza, nakusifu na nnakuheshimu kwa kuwa msikivu.
Ushauri wangu; Kama hamjaoana basi chukulia hiyo ni kheri kwako na iwe ndio njia ya kukutowa kwenye dhambi ya zinaa. Peleka posa rasmi kwao muoane kisheria na muishi kama mke na mume. Kama si mkeo / mumeo wa halali basi hayo uyatarajie kila kukicha hata mkae miaka mia, jee, kama anaweza kukuvulia nguo wewe ambae hamjaoana kinamshinda nini kuwavulia wengine?
ka alikua anavunja nae amri ya 6 af akampata mwingine wakaendelea kuivunja hyo amri si akiwa anafanya anamkumbuka yule ati.................huh
1st .. Note these Key words... KUACHANA ... SHE IS STILL IN MY HEAD.... I DONT WANT THIS.... NIMSAHAU!!2nd: You didnt tell how it all happened ... there was a misunderstand? with.. resentments ..etc3rd: If there was any resentments that means if there was an emission of negative emotions in the process ... You should first get to know what it all this means.4th: Negative emotions of hate, resentments, anger, worries etc ... they are MAGNETIC!!! They attracts what causes them and store it in ones mind..in your case it pulls your negative action which took place ...and see the Key words she is still n ma head... that is how it goes!!5th: Drop all the negative emotions ...and all will be well .... Try to forgive if anything on that line ... simply understand that you will never drop a disturbing thoughts/image.. at the same time you hold any negative emotions toward its nature...! Otherwise you will end up in what is ... LOVE HATE RELATIONSHIP ..!!ni miezi 5 sasa toka tulipoachana na mwenzangu but still she is in my head i dont want this, hali hii inanitesa sana nifanyeje ili nimsahau !!
<br />ni miezi 5 sasa toka tulipoachana na mwenzangu but still she is in my head i dont want this, hali hii inanitesa sana <br />
nifanyeje ili nimsahau !!