Vijana wengi leo wanaikimbia CCM na hawataki kuhusishwa nayo. Tujiulize; ni kwa namna gani vijana hawa watakuwa na mapenzi na chama kinachohusianishwa mara kwa mara, na kashfa kubwa za kifisadi. Kashfa zinazoathiri maisha yao?
Nyundo anayobomolea ipo kisheria kwani inapatikana katika bendera yao. Na akimaliza kutumia nyundo kubomolea ni dhahiri kuwa atatumia jembe ambalo nalo lipo katika bendera yao kuchimba msingi kwa ajili ya ukuta mpya. Cha kujiuliza ukuta mpya utakaojengwa ni wa material, kiwango, rangi zile zile ama vitu hivi vitabadilika?
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.