commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,626
- 870
Habari zenu ndugu zangu
Mimi ni mwanaume miaka28 natafuta mwanamke WA KUISHI NAYE MAISHANI anayejitambua ambaye atakuwa rafiki yangu kwa mwaka mmoja, tukiendana ndoa itafungwa 2014. Naomba awe na sifa zifuatazo (Mwanamke)
1. Awe mkristo wa dhehebu lolote lie, asiwe mchaga tafadhali
2. Awe na rangi yoyote ile, awe na elimu japo ya kiwango cha degree(Bsc).
3. Awe mkweli na Mwaminifu daima
4. Awe mrefu kiasi futi 5 kuendelea, asiwe mnene, awe mwembamba kiasi
5. Mpenda maendeleo na asiwe mlevi
6. Awe na hofu ya Mungu, siyo kiruka njia
7. Asiwe na mtoto (hajawi kuzaa)
Sifa zangu (Mwanaume).
1. Umri miaka 28, Ni mkristo
2.Ni graduate Bsc
3. Nipo kwenye International Companies
4.Mwembamba kiasi, urefu futi 5.5
5. Ni mweusi kiasi
6. Si tumii kilevi cha aina yoyote zaidi ya maji, juice na soda
7.Nafanya kazi niko na kipato cha kunitosheleza kutimiza mahitaji yangu yote,
8. sina mtoto wala sijawahi kuzaa
kwa aliye navigezo hivyo tu tafadhali tuwasiliane kupitia geniusmax@ymail.com TAFADHALI ZINGATIA MAELEKEZO!!!! HOPE MMENIELEWA. SI RAZIMA UCCOMENT KILA THREAD.
MUNGU AWABARIKI NYOTE: EMAIL ZOTE ZITAJIBIWA BILA SHIDA. AKHISANTENI
Mimi ni mwanaume miaka28 natafuta mwanamke WA KUISHI NAYE MAISHANI anayejitambua ambaye atakuwa rafiki yangu kwa mwaka mmoja, tukiendana ndoa itafungwa 2014. Naomba awe na sifa zifuatazo (Mwanamke)
1. Awe mkristo wa dhehebu lolote lie, asiwe mchaga tafadhali
2. Awe na rangi yoyote ile, awe na elimu japo ya kiwango cha degree(Bsc).
3. Awe mkweli na Mwaminifu daima
4. Awe mrefu kiasi futi 5 kuendelea, asiwe mnene, awe mwembamba kiasi
5. Mpenda maendeleo na asiwe mlevi
6. Awe na hofu ya Mungu, siyo kiruka njia
7. Asiwe na mtoto (hajawi kuzaa)
Sifa zangu (Mwanaume).
1. Umri miaka 28, Ni mkristo
2.Ni graduate Bsc
3. Nipo kwenye International Companies
4.Mwembamba kiasi, urefu futi 5.5
5. Ni mweusi kiasi
6. Si tumii kilevi cha aina yoyote zaidi ya maji, juice na soda
7.Nafanya kazi niko na kipato cha kunitosheleza kutimiza mahitaji yangu yote,
8. sina mtoto wala sijawahi kuzaa
kwa aliye navigezo hivyo tu tafadhali tuwasiliane kupitia geniusmax@ymail.com TAFADHALI ZINGATIA MAELEKEZO!!!! HOPE MMENIELEWA. SI RAZIMA UCCOMENT KILA THREAD.
MUNGU AWABARIKI NYOTE: EMAIL ZOTE ZITAJIBIWA BILA SHIDA. AKHISANTENI