Wewe ni mwanamke graduate((bsc) umri miaka 23-27! Karibu

commited

JF-Expert Member
Feb 27, 2012
1,626
870
Habari zenu ndugu zangu
Mimi ni mwanaume miaka28 natafuta mwanamke WA KUISHI NAYE MAISHANI anayejitambua ambaye atakuwa rafiki yangu kwa mwaka mmoja, tukiendana ndoa itafungwa 2014. Naomba awe na sifa zifuatazo (Mwanamke)

1. Awe mkristo wa dhehebu lolote lie, asiwe mchaga tafadhali
2. Awe na rangi yoyote ile, awe na elimu japo ya kiwango cha degree(Bsc).
3. Awe mkweli na Mwaminifu daima
4. Awe mrefu kiasi futi 5 kuendelea, asiwe mnene, awe mwembamba kiasi
5. Mpenda maendeleo na asiwe mlevi
6. Awe na hofu ya Mungu, siyo kiruka njia
7. Asiwe na mtoto (hajawi kuzaa)


Sifa zangu (Mwanaume).

1. Umri miaka 28, Ni mkristo
2.Ni graduate Bsc
3. Nipo kwenye International Companies
4.Mwembamba kiasi, urefu futi 5.5
5. Ni mweusi kiasi
6. Si tumii kilevi cha aina yoyote zaidi ya maji, juice na soda
7.Nafanya kazi niko na kipato cha kunitosheleza kutimiza mahitaji yangu yote,
8. sina mtoto wala sijawahi kuzaa
kwa aliye navigezo hivyo tu tafadhali tuwasiliane kupitia geniusmax@ymail.com TAFADHALI ZINGATIA MAELEKEZO!!!! HOPE MMENIELEWA. SI RAZIMA UCCOMENT KILA THREAD.
MUNGU AWABARIKI NYOTE: EMAIL ZOTE ZITAJIBIWA BILA SHIDA. AKHISANTENI
 
Peleka hili tangazo pale kwenye ubao wa Matangazo pale UDSM. hapa JF tumeshachoshwa na watu mnaodhani hapa ndio kijiwe cha kuondowa stress zenu za maisha za kijinga!!
 
Kwa sababu wewe umeandika asiwe mchaga ungeweka pia kabila lako ili wale ambao hawataki kuwa kwenye mausiano na kabila lako wasipoteze muda.
 
Kwa sababu wewe umeandika asiwe mchaga ungeweka pia kabila lako ili wale ambao hawataki kuwa kwenye mausiano na kabila lako wasipoteze muda.
Achana nae huyo stress za maisha zinamsumbuwa tu, usikute ameishiwa hata pesa ya Internet bundle au yuko kwenye ki internet cafe.
 
Habari zenu ndugu zangu
Mimi ni mwanaume miaka28 natafuta mwanamke WA KUISHI NAYE MAISHANI anayejitambua ambaye atakuwa rafiki yangu kwa mwaka mmoja, tukiendana ndoa itafungwa 2014. Naomba awe na sifa zifuatazo (Mwanamke)

1. Awe mkristo wa dhehebu lolote lie, asiwe mchaga tafadhali
2. Awe na rangi yoyote ile, awe na elimu japo ya kiwango cha degree(Bsc).
3. Awe mkweli na Mwaminifu daima
4. Awe mrefu kiasi futi 5 kuendelea, asiwe mnene, awe mwembamba kiasi
5. Mpenda maendeleo na asiwe mlevi
6. Awe na hofu ya Mungu, siyo kiruka njia
7. Asiwe na mtoto (hajawi kuzaa)


Sifa zangu (Mwanaume).

1. Umri miaka 28, Ni mkristo
2.Ni graduate Bsc
3. Nipo kwenye International Companies
4.Mwembamba kiasi, urefu futi 5.5
5. Ni mweusi kiasi
6. Si tumii kilevi cha aina yoyote zaidi ya maji, juice na soda
7.Nafanya kazi niko na kipato cha kunitosheleza kutimiza mahitaji yangu yote,
8. sina mtoto wala sijawahi kuzaa
kwa aliye navigezo hivyo tu tafadhali tuwasiliane kupitia geniusmax@ymail.com TAFADHALI ZINGATIA MAELEKEZO!!!! HOPE MMENIELEWA. SI RAZIMA UCCOMENT KILA THREAD.
MUNGU AWABARIKI NYOTE: EMAIL ZOTE ZITAJIBIWA BILA SHIDA. AKHISANTENI

teh teh teh!!..unatarajia kuzaa??

wapi Preta, naona sifa zote unazo bibie..hebu njoo!!
 
Peleka hili tangazo pale kwenye ubao wa Matangazo pale UDSM. hapa JF tumeshachoshwa na watu mnaodhani hapa ndio kijiwe cha kuondowa stress zenu za maisha za kijinga!!

ndio maana jamaa kasema sio lazima kuchangia,au huna sifa
 
Achana nae huyo stress za maisha zinamsumbuwa tu, usikute ameishiwa hata pesa ya Internet bundle au yuko kwenye ki internet cafe.


Mkuu ni vizuri, ukajifunza kusoma between line mwa hiyo thread nimetoa tahadhari zote.Mtu mwelevu anapokuwa hana cha kusema hukaa kimya, na kama hauna data huruhusiwi kuongea! Pole sana. Maneno yako yanadhihirisha wewe ni mtu wa aina gani. Lakini watu kama wewe ni lazima muwepo duniani ili maisha yaende. Jaribu pia kupitia maneno ya busara ya mkuu COURTESY hapo chini.
UBARIKIWE SANA.
 
siku zinavyokwenda ndio ndoto ya kumpata mume inavyoyeyuka,wengi mnataka waliosoma sasa sie ambao tulikimbia umande tutaolewa na nani????....na hili umbo langu,ngoja nifanye mazoezi...labda nitapata mnh....
 
BSc- bachelor of science. Vp wa ngwini huwataki mkuu?
Habari zenu ndugu zangu
Mimi ni mwanaume miaka28 natafuta mwanamke WA KUISHI NAYE MAISHANI anayejitambua ambaye atakuwa rafiki yangu kwa mwaka mmoja, tukiendana ndoa itafungwa 2014. Naomba awe na sifa zifuatazo (Mwanamke)

1. Awe mkristo wa dhehebu lolote lie, asiwe mchaga tafadhali
2. Awe na rangi yoyote ile, awe na elimu japo ya kiwango cha degree(Bsc).
3. Awe mkweli na Mwaminifu daima
4. Awe mrefu kiasi futi 5 kuendelea, asiwe mnene, awe mwembamba kiasi
5. Mpenda maendeleo na asiwe mlevi
6. Awe na hofu ya Mungu, siyo kiruka njia
7. Asiwe na mtoto (hajawi kuzaa)


Sifa zangu (Mwanaume).

1. Umri miaka 28, Ni mkristo
2.Ni graduate Bsc
3. Nipo kwenye International Companies
4.Mwembamba kiasi, urefu futi 5.5
5. Ni mweusi kiasi
6. Si tumii kilevi cha aina yoyote zaidi ya maji, juice na soda
7.Nafanya kazi niko na kipato cha kunitosheleza kutimiza mahitaji yangu yote,
8. sina mtoto wala sijawahi kuzaa
kwa aliye navigezo hivyo tu tafadhali tuwasiliane kupitia geniusmax@ymail.com TAFADHALI ZINGATIA MAELEKEZO!!!! HOPE MMENIELEWA. SI RAZIMA UCCOMENT KILA THREAD.
MUNGU AWABARIKI NYOTE: EMAIL ZOTE ZITAJIBIWA BILA SHIDA. AKHISANTENI
 
Usijali, watakuja wenye degree zao. Mungu ni mwema utapata
 
Mkuu ni vizuri, ukajifunza kusoma between line mwa hiyo thread nimetoa tahadhari zote.Mtu mwelevu anapokuwa hana cha kusema hukaa kimya, na kama hauna data huruhusiwi kuongea! Pole sana. Maneno yako yanadhihirisha wewe ni mtu wa aina gani. Lakini watu kama wewe ni lazima muwepo duniani ili maisha yaende. Jaribu pia kupitia maneno ya busara ya mkuu COURTESY hapo chini.
UBARIKIWE SANA.


Kuna jamaa kasoma between the lines na kagundua WEWE hujasema kabila lako. haya sema watu wajichagulie sio wewe tu unachagu makabila,

'unataka kutambika' -JK Nyerere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom