Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
labda kwa vile ni population ndogo. Kama vp hii nchi yetu tuigawe zitoke nchi tatu hivi
leo ni siku yangu ya kwanza kufahamu kuwa kuna nchi ingine africa inayoitwa kwa jina hili, nimeangalia web yao, kwakweli wamejitahidi. hivi hawa ni independent from the republic of south africa? Ni mkoa/jimbo la souz au ni nchi? mbona haiko kwenye list ya nchi za dunia?
Mie ninabahati niko huku nafanya kazi na nimetokea kufanya kwenye province ya North west liliko hili Bafokeng Tribe( sio nchi), around Rusternberg, na kwa kifupi ni kwamba wao wamepewa fursa na Government as a Bafokeng Tribe kuendelea na zile royalities tax for any big investors especially on mining in their area na kuna minerals nyingi kwenye eneo lao , hivyo wanapata royalities tax nzuri ( percentage)kutoka kampuni za mining zinazo operate North west around their area like for platinum , Gold , etc na wana Chief wao na well established Royal Bafokeng leadership inayo reinvest pesa thro construction of infracture like freeways within the North West Province and they have erected some toll roads plaza for collection of money for returns on capital invested and use for maintainance of the those freeways.
Nimewahi kuiona story ya hawa jamaa kwenye National Geographic, lakini sielewik kwa ninik nilikuwa sikumbuki. I remember the area being very rijch ikn platinum. I am still puzzled kwa nini nilikuwa sikumbuki to refute the echoes " Miafrika ndivyo tulivyo"
NN.. hawa jamaa tangu enzi za utawala wa kibaguzi walishawakatalia weupe kuchukua ardhi yao, soma historia yao utaona kwua viongozi wao waliona mbali sana na leo wanavuna matunda.. ukisikia ujamaa wa kiafrika huu ndio wenyewe. Hawa jamaa hawaendelea sababu ya wazungu wa SA.. wao wazungu walipokuja na kujaribu kuchukua ardhi yao kama walivyofanya the rest of SA walishindwa kwa sababu viongozi wao walishanunua 2/3 ya ardhi na wazungu hawakuweza! Na habari yao huwezi kuona ikitangazwa au picha za kwao kuoneshwa CNN, BBC na kwingine.. NG wataonesha watu wanaoishi maisha ya kale tu wanawinda winda, hawataonesha kabila la kiafrika lililoongozwa vizuri toka awali.