Wenzetu wanvyofanya (pics only)

Halafu msisahau 'King Abdullah University of Science and Technology'. Inafunguliwa sep 2009. Waarabu wameamua kudadeki!!

610x.jpg


kaust.png
 
Hawa wachina, nani kawapa misaada ya kujenga haya madubwasha yote haya? Halafu kwa nchi za kikomunisti kama hizi ambazo hazifuati demokrasia ya kimagharibi au ubepari kama unavyofuatwa magharibi wanawezaje kufanya mambo haya yote?

Sidhani kama China ni Udikteta labda tuseme ni ule wa chama kimoja siyo wa mtu mmoja kama ilivyo Pyongyang.

MKJJ nadhani ungetake a break na ukakisoma hiki vitabu utapata majibu ya maswali yako

4154d4uneQL._SS500_.jpg


red.jpg
 
la muhimu mkitaka kujua kama hatuna hata hao madizaina wa uchoraji basi tazameni lile jengo la Bunge lilivyo baya na nasikia hjuyo SAMUEL SITTA kila kitu alikuwa anataka kifanywe anavyotaka yeye
 
la muhimu mkitaka kujua kama hatuna hata hao madizaina wa uchoraji basi tazameni lile jengo la Bunge lilivyo baya na nasikia hjuyo SAMUEL SITTA kila kitu alikuwa anataka kifanywe anavyotaka yeye

Ubaya wake ni nini? limekaa kiafrika hawakutumia ujenzi wa miraba na mistatiri, pembetatu n.k kama ilivyo majengo mengi ya kimagharibi au hata Asia.
 
Mzee Mwanakijiji,
Hivi jengo hilo lilijengwa lini vile?.. Je, kulikuwepo na ulazima wa kuwa na jengo kama hilo au benki iliyochukua zaidi ya Usd 500/m..wakati wenzetu Kenya wameanza mradi wa kujenga barabara kuu (Highway) yenye lane 8..Ebu soma hii habari roho itakuuma mkuu wangu.. Source
 
Mzee Mwanakijiji,
Hivi jengo hilo lilijengwa lini vile?.. Je, kulikuwepo na ulazima wa kuwa na jengo kama hilo au benki iliyochukua zaidi ya Usd 500/m..wakati wenzetu Kenya wameanza mradi wa kujenga barabara kuu (Highway) yenye lane 8..Ebu soma hii habari roho itakuuma mkuu wangu.. Source


Duh! mzee hata ninalo la kusema basi; sisi tunataka kutuma bilioni 60 kununua majenereta! na bilioni 200 kutengeneza vitambulisho vya smart card! gademu..
 
Mkandara na Mzee Meanakiji
Nimeisoma mpaka roho inauma ni hela ndogo saaana na siku chache mhhh
Huku bado wanaendele kutuibia
 
la muhimu mkitaka kujua kama hatuna hata hao madizaina wa uchoraji basi tazameni lile jengo la Bunge lilivyo baya na nasikia hjuyo SAMUEL SITTA kila kitu alikuwa anataka kifanywe anavyotaka yeye


Mkuu Invisible,

Hivi Tanzania tunayo Building Code kweli?, kama ipo na kama ukiweza naomba utuwekee please............maana maswali mengine tunaweza tukawa tuna majibu yake already
 
Mzee Mwanakijiji,
Hivi jengo hilo lilijengwa lini vile?.. Je, kulikuwepo na ulazima wa kuwa na jengo kama hilo au benki iliyochukua zaidi ya Usd 500/m..wakati wenzetu Kenya wameanza mradi wa kujenga barabara kuu (Highway) yenye lane 8..Ebu soma hii habari roho itakuuma mkuu wangu.. Source

While it is good idea to have such infrastructure to beautify the City and at the same time to deal with congestion pbs........... our maintenance capabilities have so far showed us to be a really really serious issue.........but if these ideas are well done and maintained effectively......then kudos to engineers and engineering

One question though...........for how long we will keep on increasing these number of lanes.??

kwa uelewa wangu mdogo hizi engineering solutions ni only 30-40% of solving the congestion or capacity pbs.....sijui Morani75 and Fundi Mchundo mwasemaje........
 
Ogah,
One question though...........for how long we will keep on increasing these number of lanes.??
Mkuu sikukupata, come again,...
Hakuna kitu duniani kinatengenezwa kwa 100% solving the problem na siku zote demand zetu huongezeka kutokana na ongezeko la watu na technologia.. China sio kwamba hawana viwanja vya ndege au Beijin hawakuwa na kiwanja kizuri..
Haya ndio huitwa maendeleo mkuu wangu mkuu unapokwenda na wakati - When Supply meet the demand!
 
kwa mliowahi kufika China hili daraja linaitwa Liede Bridge, Guangzhou


kama kawaida ya wenzetu...wanachoraaaaaaaa

20071006_a291fdbde87a99d7c5be8bx9eQja10ZB.jpg


20071006_8bd93125a295580495b5OuvLdSiJKcpA.jpg


kisha wanajenga na lishakwisha nadhani by now

95906094.jpg
 
GT,
Ehhhh bwana weee... Daadadeki Mchina!

Mkuu ni sawa kabisa nimeishapita hapo beijing airport kama mara tatu, ni kweli ni kubwa mno, nzuri na safi , nakumbuka nilitumia siku nzima kutembea terminal moja ambayo ni international terminal (T3) Lakini sikufanikiwa kumaimaliza, ni airport ambayo kutokana na ukubwa wake ukiishashuka kwenye ndege sehemu ya kwenda kuchukua mizigo yako inabidi upande treni na hizi treni zipo ndani ya airport na unaweza kutumia 30 minutes kufika kwenye mkanda wa mizigo, kwa kweli hawa jamaa ni noma
 
Ndoto za kuwa na airport kama hizo ziondoeni, kwanza tatueni tatizo la maji na umeme and then you can talk.
 
Back
Top Bottom