Wenyeviti wa vijiji na vitongoji kupatiwa posho kutoka serikali kuu

MWANAIDEA

Member
Jun 16, 2012
23
1
Ni zaidi ya miaka 35 toka serikali ianzishe serikali za vijiji ,ambazo ndio msingi wa maendeleo na demokrasia zikiongozwa na wenyeviti wa vjiji na vitongoji ,lakini viongozi hawa wamekua wakifanya kazi bila ya kua na posho wala mishahara na kupelekea kudhoofisha shughuli za maendeleo katika maeneo yao naombeni michango yenu
 
Ni zaidi ya miaka 35 toka serikali ianzishe serikali za vijiji ,ambazo ndio msingi wa maendeleo na demokrasia zikiongozwa na wenyeviti wa vjiji na vitongoji ,lakini viongozi hawa wamekua wakifanya kazi bila ya kua na posho wala mishahara na kupelekea kudhoofisha shughuli za maendeleo katika maeneo yao naombeni michango yenu
Kwa kuwa hakuna anayejitolea kutaka uongozi wa ccm, wameona nafuu wawape posho!! Inafurahisha kweli!!! CCM inawapa wananchi posho wakati CDM inapewa posho na wananchi!!
 
Back
Top Bottom