Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,966
- 32,365
Kwani Sheria na Kanuni za JF. zinakataza watu wasiokuwa na chama kuchangia humu JF?Sasa mbona uko humu unakimbizana kupinga mambo ya chadema, yanakuhusu nini sasa, kaa kimya waache wanaume wajadiliane mambo yao yanakuwashia nini. Utafikiri kiananihiiiiiii