KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,145
Naona wote wamevaa minywele ya maiti na mikorogo imewakolea hatari....Yaani wanatisha wako kama majini.
Kuoa hawa majini lazima uwe shetani flani hivi!!!
Naona wote wamevaa minywele ya maiti na mikorogo imewakolea hatari....Yaani wanatisha wako kama majini.
watu wanaotumia rasilimali zao adimu walizopewa kujinufaisha kijamii.Wanasaga nn?
Hahahahahha,jamaniKuoa hawa majini lazima uwe shetani flani hivi!!!
Aunty ezekiel kweli ka move on past wema.. Pamoja na wema kujikomba kote kumuwish happy birthday aunt na kumpost mapicha kibao insta, aunty ezekiel kamkaushia mikausho mikali na hata hajamualika kwa birthday yake leo. Kweli wema kaisoma namba na leo ni namba 168.
Nahisi zarithebosslady katumia cheo