Maana yaweza kuwa mko 39 na akiongezeka mmoja tu mnafikia 40, si mnajua waswahili wanasema za mwizi ni 40? So hiyo 40 yenu itakuwaje..........ni wewe mwenyewe kuamua kwa kuuliza sasa "Tuko wangapi?"
UPOPO, kama bado mpo wawili tu wala hata haina haja ya kuuliza maana hiyo inaonyesha namna mlivyo waaminifu maana mna kadumu kamoja tu hata chain haijaungana bado......Lol!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.