cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
HII KWAKO WEWE ULIYEKATA TAMAA YA KUOLEWA AU KUOA.
kabla sijaanza kujipodoa kuelekea ktk kiofa cha dinner alichonipatia barafu wa mtima wangu,ningependa kuwaachia zawadi hii.
:A S-rose:lav you all.:A S-rose::A S-rose:
Henry Kerr 97 na Valerie Berkowitz 87 raia wa uingereza huenda wakawa ni watu waliovunja record kwa kuoana wakiwa na umri Mkubwa(vikongwe), mmmmh kweli mapenzi hayana umri.
Kilichonifanya niweke hii post ni kuwapa faraja wale wote waliokata tamaa ya kuolewa au kuoa kutokana na umri wao, It is never too late to get married.
kabla sijaanza kujipodoa kuelekea ktk kiofa cha dinner alichonipatia barafu wa mtima wangu,ningependa kuwaachia zawadi hii.
:A S-rose:lav you all.:A S-rose::A S-rose:
Henry Kerr 97 na Valerie Berkowitz 87 raia wa uingereza huenda wakawa ni watu waliovunja record kwa kuoana wakiwa na umri Mkubwa(vikongwe), mmmmh kweli mapenzi hayana umri.
Kilichonifanya niweke hii post ni kuwapa faraja wale wote waliokata tamaa ya kuolewa au kuoa kutokana na umri wao, It is never too late to get married.