Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
....and our wives from our friends! Huu ni usemi nilioambiwa na Muisraeli mmoja zamani na leo nimejionea
Nimepewa lift kuja Dar na mmoja wa ma-class mates zangu na akang'ang'ania nipitie kwake kupata dinner kabla sijatafuta hotel ya kufikia (Dar ni kwetu ila kibanda nimepangisha na kulala kwa wazee baba ana principle kuwa regardless your age akikutangulia kuingia ndani geti halifunguliwi hadi asubuhi- and I need my freedom). So tukaenda, jamaa hapendi kupiga honi hivyo hujifungulia geti mwenyewe. Alipofungua mlango hamadi! Our mutual friend and class mate yupo garden kavaa pensi nyumbani kwa rafiki yangu na chupa za wine zimetapakaa - it seems he wasn't expected.
Am doing my best kurudisha amani, will keep you posted!
UPDATE :
Tumekubaliana kuondoka na jamaa yangu (niliekuja nae), ila nyumba inafungwa. Mke anakwenda kulala kwa dada yake. Mazungumzo zaidi kesho, but I guess itabidi niue update for obvious reasons!
Nimepewa lift kuja Dar na mmoja wa ma-class mates zangu na akang'ang'ania nipitie kwake kupata dinner kabla sijatafuta hotel ya kufikia (Dar ni kwetu ila kibanda nimepangisha na kulala kwa wazee baba ana principle kuwa regardless your age akikutangulia kuingia ndani geti halifunguliwi hadi asubuhi- and I need my freedom). So tukaenda, jamaa hapendi kupiga honi hivyo hujifungulia geti mwenyewe. Alipofungua mlango hamadi! Our mutual friend and class mate yupo garden kavaa pensi nyumbani kwa rafiki yangu na chupa za wine zimetapakaa - it seems he wasn't expected.
Am doing my best kurudisha amani, will keep you posted!
UPDATE :
Tumekubaliana kuondoka na jamaa yangu (niliekuja nae), ila nyumba inafungwa. Mke anakwenda kulala kwa dada yake. Mazungumzo zaidi kesho, but I guess itabidi niue update for obvious reasons!