WB: 2050 Tanzania Itafikisha Watu Milioni 140. Yatoa wito kudhibiti kasi ya Ongezeko la watu na uzazi

Watu nao ni rasilimali
Ifikapo hiyo 2050 wazee watupu Nguvu kazi itatoka wapi
Waache upumbavu
Wanataka yatukute ya kwao mfano Marekani kila mwaka kupitia green card lottery wanaingiza watu elfu 50 nguvu kazi mpya

Kanada wamejaa wahindi ndio wanazaa wenyeji hakuna uzazi

Ukaya nchi nyingi vikongwe ndio vingi nguvu kazi ya vijana haipo inapungua kila siku ndio maans wanahangaika kutengeneza miroboti ndio iwe mifanyakazi viwandani
Na magari wameanza kutengeneza yasiyo na dereca sababu ya ukosefu wa nguvu kazi
 
Net worth ya mtu mmoja tu, Elon Musk, ni zaidi ya mara tatu ya GDP ya Tanzania ya 2021.
Bilionea Elon Musk na Bilionea Billy Gates ni matajiri sababu ya population kubwa ya watu wanaotumia bidhaa zao.Bill Gates na bidhaa zake za kila computa,simu nk inazo hivyo kadri population inavyokuwa kubwa watumia hizo product ndivyo utajiri unaongezeka

Utajiri na idadi ya watu vina uhusiano population ndogo huzalisha matajiri wachache au maskini

Mfano Japan nchi ndogo sana lakini population kubwa iliyoko Tanzania watumia magari ya Toyota kila eneo inafanya Japan kule iwe nchi tajiri sababu watanzania tunazaliana sana na kuongeza idadi ya customers wa Toyota

Kuzaliana sana kwetu kunawasaidia makampuni makubwa ya magari,simu,pikipiki ,vifaa vya umeme nk vya kwao wapate customers wengi.watushukuru watanzania kuzaliana sana Tunazalisha wateja wao.Inatakiwa watulipe kuzaa.World Bank itupe pesa bure tuzaliane sana Tanzania
 
Unaleta siasa uchwara kwenye mambo ya demographics. Yani wabongo madhara ya kuzaliana ovyo yanaonekana tu, hapa tunazungumzia population growth na impacts zake wewe unapigania mzee wa Richmond.

Demographics hazitaki siasa. Kama unazaa kama sungura utaishia kuwa na miradi ya kujenga shule za kata kila mwaka. Hizo shule si kila mwaka madawati hamna, walimu hawatoshi, hawana mahabara, umeme wala maji? Kila mwaka si serikali inatangaza uhaba wa madarasa sababu ya wingi wa wanafunzi?
Sasa nchi itaendeleaje kama akili zote zimeishia kwenye viungo vya uzazi.

Huyo Lowassa mwenyewe unayesema mbona hana watoto kama nyie sungura wafyatuaji.
Madhara yapi ikiwa life expectancy inaongezeka? Acha siasa za kukariri vitabu wewe

View: https://www.instagram.com/p/C4gNTKPosYA/?igsh=MTBpb2dzbXM1MDlheA==
 
Benki ya Dunia imesema Kufikia mwaka 2050 Tanzania inakadiriwa kuwa na watu Milioni 140 ambapo itakuwa ni mzigo mkubwa Kwa Uchumi wa Nchi.

Akizindua ripoti ya Hali ya Uchumi ya Nchi, Mkurugenzi Mkaaji wa WB Kanda ya Mashariki na Tanznaia Nathan Beleke amesema Tanzania Ina ukujai wa 3% ambao ni Juu ya wastani wa Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na pia Ukiwa Juu ya ongezeko la watu la 2.7% linalokubaliwa kwenye Nchi zinazoendelea.


View: https://www.instagram.com/p/C4ae9p7oh2M/?igsh=d3UzdjR5cDV6cGU4

My Take
Kuliko Kuzuia watu wasizaane ni Bora kuitaka Serikali kuongeza Kasi ya Ukuaji wa Uchumi.

Sikubaliani na WB maana watu wengi ni faida.Nchi hii ni kubwa sana kuliko idadi hiyo ya watu.

View: https://www.instagram.com/p/C4cepXINmZH/?igsh=bTR4OTg3dHUxeGpt

Kama Tunaishi miaka Mingi Kuna shida gani?

View: https://www.instagram.com/p/C4gNTKPosYA/?igsh=MTBpb2dzbXM1MDlheA==

Watu wengi ndio fursa zenyewe!

Mambo matamu yaja!
 
Bilionea Elon Musk na Bilionea Billy Gates ni matajiri sababu ya population kubwa ya watu wanaotumia bidhaa zao.Bill Gates na bidhaa zake za kila computa,simu nk inazo hivyo kadri population inavyokuwa kubwa watumia hizo product ndivyo utajiri unaongezeka

Utajiri na idadi ya watu vina uhusiano population ndogo huzalusha matajiri wachache au maskini

Mfano Japan nchi ndogo sana lakini population kubwa iliyoko Tanzania watumia magari ya Toyota kila eneo inafanya Japan kule iwe nchi tajiri sababu watanzania tunazaliana sana na kuongeza idadi ya customers wa Toyota

Kuzaliana sana kwetu kunawasaidia makampuni makubwa ya magari,simu,pikipiki ,vifaa vya umeme nk vya kwao wapate customers wengi.watushukuru watanzania kuzaliana sana Tunazalisha wateja wao.Inatakiwa watulipe kuzaa.World Bank itupe pesa bure tuzaliane sana Tanzania
 

Attachments

  • Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
    15.4 KB · Views: 0
Back
Top Bottom