Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,571
- 45,907
- Thread starter
- #21
yap si umeelewaKarma. Rafiki yako mwenyewe umesema alimuiba jamaa.
Anyway, hiyo "Utube" ulimaanisha youtube ama?
yap si umeelewaKarma. Rafiki yako mwenyewe umesema alimuiba jamaa.
Anyway, hiyo "Utube" ulimaanisha youtube ama?
Eti ninasikia huyo dada alishauri wasichana wanaotaka kuolewa na wanaume wenye pesa wahame Sinza, kwakua wanaume wenye pesa hawakai maeneo hayo, wahame Ubungo, wahame Boko, na pia Tandale kwa Mtogole wote wahamie Masaki na Oyterbay kwenye apartments. Huko ndio powe of p.....y inafanya kazi.
Dada asante, sie wa Kwamtogole hayo hatuyawezi.Education is "Sexy"
umeona video ya x ya huyo dada ? inatisha ana papuchi sijui ipoje sijui ndo papuchi za marekani zile?Take my word yule mwanaume ni mstaarabu sana lakini pale either ameumizwa sana na Mange ameamua kama mbwai mbwai au anatafuta mtu angalau na yeye afurahi amechoka maisha ya maigizo.
ahahaaa mganga hajigangi atii?Mshauri rafiki yako atumie the power of p...sy Mange Kimambi alituletea formula.
Hahaha em read between the lines, nahisi hujamjua bado muhusika wa hiyo storyMshauri rafiki yako atumie the power of p...sy Mange Kimambi alituletea formula.
toka lini you tube wanaonesha picha za X kajipange tena chakubimbi halafu uje na data za kweliKuna rafiki yangu aliolewa na mzungu, alimuopoa mzungu toka kwa mdada mmoja wa kiafrica nchi jirani huko, kweli tuliona kapata bwana wa maisha maana alisema wazungu hawana mambo ya michepuko.Hata miaka haijaisha mitano kamuacha best yetu yupo na mchepuko mwingine wa Africa.
Tena huo mchepuko ulishafanya hadi movie za X ukienda Utube zipo kibao, wakwe wametumiwa picha na hyo mdada alieachwa za X na za huyo hawara wa mume wamesema haina shida, wamempenda mkwe mpya amuache tu mtoto wao.
Sasa najiuliza hawa wazungu vipi? Wanatuchukuliaje sisi waafrica? Kuna mapenzi kweli? Nasikia wazungu wanatumia waafrica vibaya sana.
ngoja nikutumietoka lini you tube wanaonesha picha za X kajipange tena chakubimbi halafu uje na data za kweli
Sijaelewa kwamba education is equated to sex au vipiDada asante, sie wa Kwamtogole hayo hatuyawezi.
Kibaya zaidi mume akuache atoke na mtu wala si mzuri ki vile wa kawaida sana. Mdada alijisifu kuwa anampa Lance p...sy akijisikia. Maisha yalikuwa too much in the open.umeona video ya x ya huyo dada ? inatisha ana papuchi sijui ipoje sijui ndo papuchi za marekani zile?
yaani mzungu sijamuelewa kabisa umeona video ya mke mpya?Hahaha em read between the lines, nahisi hujamjua bado muhusika wa hiyo story
Acha ubishi na wewe kama hujui sema watu wakueleweshe zipo tena nyingi tutoka lini you tube wanaonesha picha za X kajipange tena chakubimbi halafu uje na data za kweli
I just rub it in, she is the author of the power of ......Hahaha em read between the lines, nahisi hujamjua bado muhusika wa hiyo story
kumbe mzungu muharibifu jamaniKibaya zaidi mume akuache atoke na mtu wala si mzuri ki vile wa kawaida sana. Mdada alijisifu kuwa anampa Lance p...sy akijisikia. Maisha yalikuwa too much in the open.
Wana usemi wao dada unaseme "Once you go black, you never get white again".kumbe mzungu muharibifu jamani
si angetafuta mzungu mwingine?
sijui nieleweshe basiAcha ubishi na wewe kama hujui sema watu wakueleweshe zipo tena nyingi tu
ahahaaa why?Wana usemi wao dada unaseme "Once you go black, you never get white again".
Sijaiona mwaya. Ila mzungu kanishangaza, angekuwa mwanaume wa Kiafrika ndo kafanya hivyo mbona angekoma; angeambiwa tabia za kitandale, mswahili blah blah blah. Sasa mzungu ni wa uswazi au mwafrika? Kweli tabia haina rangiyaani mzungu sijamuelewa kabisa umeona video ya mke mpya?
Siye watamu atiii.ahahaaa why?
youtube video uone papuchi una uhakika wewe ?umeona video ya x ya huyo dada ? inatisha ana papuchi sijui ipoje sijui ndo papuchi za marekani zile?