Natumaini hamjambo, na wengne mnajitahidi allah atufanyie wepesi katika afya na maeneo yetu ya ridhiki.
Kimsingi nataka kujarbu kufanya biashara ya bodaboda, nimejarbu kufanya tafiti ndogo nimegundua changamoto kubwa ni derava kutoleta hesabu kama inavyotakikana, wizi wa vyombo, ajali (hii inaweza kutozuilika) nk.
Naomba ushauri kwenye mambo yafuatayo:
1. Boda iwe mpya au used.
2. Hesabu au mkataba (japo binafsi napendelea hesabu) huku used ni 6000 mpya ni 7000/8000 mkataba 10000
3. Usimamizi upi utakaofaa angalau kupunguza changamoto
Nawasilisha, kwa unyenyekevu mkubwa
Ninyi ni watu wema.
Kimsingi nataka kujarbu kufanya biashara ya bodaboda, nimejarbu kufanya tafiti ndogo nimegundua changamoto kubwa ni derava kutoleta hesabu kama inavyotakikana, wizi wa vyombo, ajali (hii inaweza kutozuilika) nk.
Naomba ushauri kwenye mambo yafuatayo:
1. Boda iwe mpya au used.
2. Hesabu au mkataba (japo binafsi napendelea hesabu) huku used ni 6000 mpya ni 7000/8000 mkataba 10000
3. Usimamizi upi utakaofaa angalau kupunguza changamoto
Nawasilisha, kwa unyenyekevu mkubwa
Ninyi ni watu wema.