Wazo la kujiajiri

sitegemei mleta mada ataanza kujiajiri kwa kuanza na kazi ya shoeshine kama alivyoanza bakhresa. Bakhresa katoka mbali sana! Kingine kinachomsaidia ni asili yake pamoja na nguvukazi aliyo nayo. Hivi katika kubuni product mpya mfano azam cola unadhani ni akili ndogo imetumika? Anawatumia waajiriwa wake wasomi anaaowalipa vyema kumuendelezea biashara zake. Hivi unaweza kumlinganisha Mengi na Bakhresa? Kwa nini bakhresa sio public figure? Mengi naye alianzia mbali lakini tofauti. Alianza na product (nadhani ni kalamu za epica). Sasa angalia uendeshaji wa biashara kati ya Mengi na Bakhresa. Nafaka mtu yoyote anaweza cheza nayo ila si media na franchise.

Pia sioni lugha yoyote kali iliyotumika hapo. Hivi utatoka na shahada yako chuoni halafu uende kufungua duka la nguo, kuna ubunifu hapo? ambaye hajasoma hufanikiwa pia ila in a hard way (kama bakhresa). Naye pia ana input, process na output, lakini sitegemei wewe uliyesoma uzikose hizo.
Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye input,process na output kwa uelewa zaidi.
 
Natamani wajasiriamali wasomi wangefunguka vle walianza.Nidhahiri kila mmoja ana wake utashi.Naamini ktk ushindi hata nikiuza maji,pipi,nguo na vyote visivyo na tija kwao wanaojiita wasomi.I hv long term goals n am optimistic in nature.
 
sitegemei mleta mada ataanza kujiajiri kwa kuanza na kazi ya shoeshine kama alivyoanza bakhresa. Bakhresa katoka mbali sana! Kingine kinachomsaidia ni asili yake pamoja na nguvukazi aliyo nayo. Hivi katika kubuni product mpya mfano azam cola unadhani ni akili ndogo imetumika? Anawatumia waajiriwa wake wasomi anaaowalipa vyema kumuendelezea biashara zake. Hivi unaweza kumlinganisha Mengi na Bakhresa? Kwa nini bakhresa sio public figure? Mengi naye alianzia mbali lakini tofauti. Alianza na product (nadhani ni kalamu za epica). Sasa angalia uendeshaji wa biashara kati ya Mengi na Bakhresa. Nafaka mtu yoyote anaweza cheza nayo ila si media na franchise.

Pia sioni lugha yoyote kali iliyotumika hapo. Hivi utatoka na shahada yako chuoni halafu uende kufungua duka la nguo, kuna ubunifu hapo? ambaye hajasoma hufanikiwa pia ila in a hard way (kama bakhresa). Naye pia ana input, process na output, lakini sitegemei wewe uliyesoma uzikose hizo.

Nadhani unasumbuliwa na 'ego'
Mengi anadaiwa kila kona, bakhresa anaikopesha serekali, wafanyakazi wake na kusaidia jamii. Kuwa public figure kwa kugawa mamilioni ya misaada kwa watoto yatima wakati kwenye kampuni yako wafanyakazi unawalipa peanuts sio akili timamu bali ulimbukeni.

Last week nilisikia redioni Bakhresa amezalisha tani mil6 za unga wa ngano mwaka jana pekee. Mtafute mzalishaji kama yeye africa nzima kama yupo.

Hivi unadhani watu wangapi wanamjua warren buffet na Mo ibrahim?

Eti bakhresa kaajari wasomi ndio maana anaendelea? Sasa ulitaka aajiri std 7?? Angepelekaje mbele kampuni nzima pekeyake? Haya professa anayefanya kazi kwa bakhresa na Said Salim mwenyewe nani zaidi? Usitake kutia maji kwenye gari ya petroli ukategemea liende.
Si kila mtu anaweza kurun kampuni? Kumbuka kabla hajaajiri wasomi alianza mwenyewe.
 
Nadhani unasumbuliwa na 'ego'
Mengi anadaiwa kila kona, bakhresa anaikopesha serekali, wafanyakazi wake na kusaidia jamii. Kuwa public figure kwa kugawa mamilioni ya misaada kwa watoto yatima wakati kwenye kampuni yako wafanyakazi unawalipa peanuts sio akili timamu bali ulimbukeni.

Last week nilisikia redioni Bakhresa amezalisha tani mil6 za unga wa ngano mwaka jana pekee. Mtafute mzalishaji kama yeye africa nzima kama yupo.

Hivi unadhani watu wangapi wanamjua warren buffet na Mo ibrahim?

Eti bakhresa kaajari wasomi ndio maana anaendelea? Sasa ulitaka aajiri std 7?? Angepelekaje mbele kampuni nzima pekeyake? Haya professa anayefanya kazi kwa bakhresa na Said Salim mwenyewe nani zaidi? Usitake kutia maji kwenye gari ya petroli ukategemea liende.
Si kila mtu anaweza kurun kampuni? Kumbuka kabla hajaajiri wasomi alianza mwenyewe.

kwani bakhresa ndio anawalipa vizuri sana wafanyakazi wake? Mengi mnamfahamu kwa kuwa anatokea sana hadharani. Kwa taarifa yako more than 60% ya staff wa bakhesa ni vibarua tu. Hana tofauti na kampuni zingine za wahindi na waarabu. Au hiyo misaada ya kila ijumaa ndo unaona kafanya jambo la maana?

Tuambie basi bakhresa anawalipa kiasi gani wafanyakazi wake. Na wanaofanikiwa kwake ni wale waliomuibia tu. Halafu hizo tani ml 6 za ngano zina tija gani kwako. Mtu biashara kubwa lakini anatengeneza hadi chapati. Na kina mama lishe wafanyeje? Au kwa sababu jasiri haachi asili?

Madeni hata nchi yako inadaiwa. Marekani inakopa hela toka China. Wewe mwenyewe una madeni. Tutatumbana bure hapa bila tija kama mashabiki wa soka la ulaya walioko bongo. Cha msingi wafafanulie wahitaji elimu ya kujiajiri
 
Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye input,process na output kwa uelewa zaidi.

tuchukulie biashara ndogo tu ya kutengeneza maandazi kwa mfano.

Input: resources ambazo unatumia kufikia lengo lako la kupata maandazi then uuze kisha upate hela. A means of producing goods and services. Hapa utagundua hela sio resource maana haizalishi kitu. Hizo resources/rasilimali ni kama sufuria, kumi/mkaa/gesi/umeme (kiufupi nishati), unga, wewe mwenyewe (human resource), u name it.

Process: ni ule mchakato wa kutengeneza andazi. Unavyochanganya unga, muda unaotumia, mawasiliano unayofanya kuhusiana na unachofanya, n.k.

Output: ni ile bidhaa (product) au huduma (service) inayotokana na inputs na procecc, yaani maandazi kwa mfano wetu.

Huu mfano unaweza kucheza nao kwa shughuli nyingine yoyote. 2+2=4. Lakini 1+1+1+1=4. hope nimesomeka kiasi
 
tuchukulie biashara ndogo tu ya kutengeneza maandazi kwa mfano.

Input: resources ambazo unatumia kufikia lengo lako la kupata maandazi then uuze kisha upate hela. A means of producing goods and services. Hapa utagundua hela sio resource maana haizalishi kitu. Hizo resources/rasilimali ni kama sufuria, kumi/mkaa/gesi/umeme (kiufupi nishati), unga, wewe mwenyewe (human resource), u name it.

Process: ni ule mchakato wa kutengeneza andazi. Unavyochanganya unga, muda unaotumia, mawasiliano unayofanya kuhusiana na unachofanya, n.k.

Output: ni ile bidhaa (product) au huduma (service) inayotokana na inputs na procecc, yaani maandazi kwa mfano wetu.

Huu mfano unaweza kucheza nao kwa shughuli nyingine yoyote. 2+2=4. Lakini 1+1+1+1=4. hope nimesomeka kiasi

Thanks mkuu sijaona kitufe hapo sijui vimekwenda wapi,Be Blessed kwa mchango wako
 
Ehee! aya bwana.. mafanikio katika maisha ayahusiani na kukalishwa katika mabenchi na kuanza kukaririshwa na teacher class wako! jamani bdo tu tuna ule ulimbukeni.. (soma sana uajiriwe uwe na maisha mazuri?) duu tanzania bado.
 
Back
Top Bottom