elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
mimi na rafiki yangu tuna wazo la kuanzisha firm itakayo kuwa ina husika na mambo yafuatayo
1. Kufanya researches kwa niaba ya makampuni flani au organizations flani.
2. Shughuli za consultance zihuisanazo na mazingira n.k
3. Msaada na ushauri wa kisheria kwa watu wanao hitaji. Mfano. Kuandaa na kusimamia mikataba mbalimbali.
4. Uandaaji na business plans na projects.
Lengo letu hasa ni ku recruit wasomi waliomaliza na wako mtaani bila ajira na hawana wazo la kujiajiri. Japo hatuta ajiri watu wengi llakini walau tutaajiri wale tutakao kuwa na uwezo nao na pia ambao watakuwa competent.
Natoa shukurani kwa jf hasa ili jukwaa kwa kupanua mawazo yangu japo bado niko chuo nikielekea kuhitimu stashahada yangu lakini nimeweza na bado nina ndoto za kufanya mambo mengi makubwa.
1. Kufanya researches kwa niaba ya makampuni flani au organizations flani.
2. Shughuli za consultance zihuisanazo na mazingira n.k
3. Msaada na ushauri wa kisheria kwa watu wanao hitaji. Mfano. Kuandaa na kusimamia mikataba mbalimbali.
4. Uandaaji na business plans na projects.
Lengo letu hasa ni ku recruit wasomi waliomaliza na wako mtaani bila ajira na hawana wazo la kujiajiri. Japo hatuta ajiri watu wengi llakini walau tutaajiri wale tutakao kuwa na uwezo nao na pia ambao watakuwa competent.
Natoa shukurani kwa jf hasa ili jukwaa kwa kupanua mawazo yangu japo bado niko chuo nikielekea kuhitimu stashahada yangu lakini nimeweza na bado nina ndoto za kufanya mambo mengi makubwa.